• HABARI MPYA

    Tuesday, April 02, 2024

    NAMUNGO YATINGA ROBÓ FAINALI CRDB CUP KWA MATUTA


    TIMU ya Namungo FC imefanikiwa kutinga Robó Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano ambayo sasa inajulikana kama CRDB Federation Cup baada ya ushindi wa penalti 5-3 dhidi ya Kagera Sugar kufuatia sare ya bila kufungana ndani ya dakika 90 leo Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NAMUNGO YATINGA ROBÓ FAINALI CRDB CUP KWA MATUTA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top