// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
WAZIRI WA MICHEZO DK NDUMBARO AKIONYESHA UMAHIRI WAKE KWENYE GOFU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEWAZIRI WA MICHEZO DK NDUMBARO AKIONYESHA UMAHIRI WAKE KWENYE GOFU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
WAZIRI WA MICHEZO DK NDUMBARO AKIONYESHA UMAHIRI WAKE KWENYE GOFU
WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro Aprili 14, 2024 amekuwa Mgeni Rasmi wakati wa Fainali za mashindano maalumu ya gofu ya Lina PG Tour yaliyofanyika katika uwanja wa Gymkana mjini Morogoro. Mashindano hayo yameandaliwa na Familia ya Lina Nkya aliyekuwa mchezaji mkongwe wa gofu nchini na mmoja wa viongozi wa Chama cha Gofu cha Wanawake Tanzania (TLGU) wakati wa uhai wake kwa lengo la kutambua mchango wake kwenye maendeleo ya mchezo huo ambapo pia vilabu kutoka mikoa mbalimbali vimeshiriki.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment