• HABARI MPYA

    Saturday, November 30, 2019
    REAL MADRID WAREJEA KILELENI LA LIGA BAADA YA KUICHAPA ALAVES 2-1

    REAL MADRID WAREJEA KILELENI LA LIGA BAADA YA KUICHAPA ALAVES 2-1

    Real Madrid leo wamerejea kileleni mwa La Liga baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Deportivo Alaves Uwanja wa Mendizorroza mjini Vitoria-Gas...
    MANCHESTER CITY YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA NEWCASTLE UNITED

    MANCHESTER CITY YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA NEWCASTLE UNITED

    Jonjo Shelvey akipiga shuti kuifungia bao la kusawazisha Newcastle United dakika ya 88 katika sare ya 2-2 na Manchester City kwenye mchez...
    CHELSEA YACHAPWA 1-0 NA WEST HAM UNITED PALE PALE DARAJANI

    CHELSEA YACHAPWA 1-0 NA WEST HAM UNITED PALE PALE DARAJANI

    Aaron Creswell akishangilia na mchezaji mwenzake, Robert Snodgrass baada ya kuifungia bao pekee West Ham United dakika ya 48 katika ushin...
    DELE ALLI APIGA MBILI TOTTENHAM YAILAZA 3-2 BOURNEMOUTH

    DELE ALLI APIGA MBILI TOTTENHAM YAILAZA 3-2 BOURNEMOUTH

    Dele Alli akipongezwa na Heung-Min Son baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 21 na 50 katika ushindi wa 3-2 dhidi y...
    VAN DIJK APIGA MBILI LIVERPOOL PUNGUFU YAICHAPA BRIGHTON 2-1

    VAN DIJK APIGA MBILI LIVERPOOL PUNGUFU YAICHAPA BRIGHTON 2-1

    Beki Virgil van Dijk akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 18 na 24 mara zote akiimalizia kazi nzuri za Trent ...
    SIMBA SC YAACHANA NA AUSSEMS, KITAMBI APEWA TIMU HADI ATAKAPOPATIKANA KOCHA MPYA

    SIMBA SC YAACHANA NA AUSSEMS, KITAMBI APEWA TIMU HADI ATAKAPOPATIKANA KOCHA MPYA

    Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM KLABU ya Simba SC imetangaza rasmi kuachana na kocha wake, Patrick Winand J. Aussems baada ya beki huyo ...
    KOCHA JUMA MWAMBUSI ABWAGA MANYANGA MBEYA CITY, MOHAMED KIJUSO APEWA MIKOBA

    KOCHA JUMA MWAMBUSI ABWAGA MANYANGA MBEYA CITY, MOHAMED KIJUSO APEWA MIKOBA

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KOCHA wa Mbeya City Juma Mwambusi (pichani) amejiuzulu kuifundisha timu hiyo kutokana na mwenendo usiorid...
    Friday, November 29, 2019
    YANGA SC YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI LIGI KUU, YAICHAPA ALLIANCE 2-1 CCM KIRUMBA

    YANGA SC YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI LIGI KUU, YAICHAPA ALLIANCE 2-1 CCM KIRUMBA

    Na Mwandishi Wetu, MWANZA KIKOSI cha Yanga kimeendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kuwachapa wenyeji, Alli...
    MANULA ATEULIWA KIKOSI CHA KILIMANJARO STARS PAMOJA NA KASEJA KWA AJILI YA CHALLENGE

    MANULA ATEULIWA KIKOSI CHA KILIMANJARO STARS PAMOJA NA KASEJA KWA AJILI YA CHALLENGE

    Na Asha Said, DAR ES SALAAM KIPA namba moja wa timu ya Simba, Aishi Manula amerejeshwa kwenye kikosi cha timu ya taifa, baada ya jana kuta...
    Thursday, November 28, 2019
    LUKAKU AFUNGA INTER MILAN YASHINDA 3-1 LIGI YA MABINGWA

    LUKAKU AFUNGA INTER MILAN YASHINDA 3-1 LIGI YA MABINGWA

    Mshambuliaji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Inter Milan bao la pili dakika ya 81 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, S...
    DEJAN LOVREN AINUSURU LIVERPOOL KUPIGWA ANFIELD NA NAPOLI, 1-1

    DEJAN LOVREN AINUSURU LIVERPOOL KUPIGWA ANFIELD NA NAPOLI, 1-1

    Dejan Lovren akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 65 ikitoa sare ya 1-1 na Napoli iliyotanguli...
    SAMATTA AFUNGA BAO LA TATU LIGI YA MABINGWA ULAYA GENK IKICHAPWA 4-1 NYUMBANI SALZBURG

    SAMATTA AFUNGA BAO LA TATU LIGI YA MABINGWA ULAYA GENK IKICHAPWA 4-1 NYUMBANI SALZBURG

    Na Mwandishi Wetu, GENK MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta usiku wa jana amefunga bao lake la tatu katika Ligi ya ...
    Wednesday, November 27, 2019
    ZLATAN AJIUNGA NA TIMU YA KWAO SWEDEN BAADA YA KUTEMWA LA GALAXY

    ZLATAN AJIUNGA NA TIMU YA KWAO SWEDEN BAADA YA KUTEMWA LA GALAXY

    Zlatan Ibrahimovic akiwa ameshika jezi ya Hammarby ya kwao, Sweden baada ya kujiunga nayo kama mmoja wa wamiliki kufuatia kuachwa na LA G...
    DYBALA APIGA BAO PEKEE JUVENTUS YAICHAPA ATLETICO MADRID 1-0

    DYBALA APIGA BAO PEKEE JUVENTUS YAICHAPA ATLETICO MADRID 1-0

    Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao pekee la ushindi dakika ya 45 na ushei ikiilaza 1-0 Atletico Madrid katika mche...
    BENZEMA APIGA MBILI PSG WACHOMOA ZOTE SARE 2-2 REAL NA PSG

    BENZEMA APIGA MBILI PSG WACHOMOA ZOTE SARE 2-2 REAL NA PSG

    Mshambuliaji Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid striker dakika za 17 na 79 katika sare ya 2-2 na Pari...
    MAN CITY YAFUZU HATUA YA MTOANO LICHA YA KUTOA SARE 1-1 ETIHAD

    MAN CITY YAFUZU HATUA YA MTOANO LICHA YA KUTOA SARE 1-1 ETIHAD

    Kiungo lkay Gundogan akiifungia bao la kuongoza Manchester City dakika ya 56 katika sare ya 1-1 na Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Kund...
    LEWANDOWSKI APIGA NNE BAYERN MUNICH YASHINDA 6-0 UGENINI

    LEWANDOWSKI APIGA NNE BAYERN MUNICH YASHINDA 6-0 UGENINI

    Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao manne dakika za 53 kwa penalti, 60, 64, 67 katika ush...
    Monday, November 25, 2019
    KENYA WATWAA KOMBE LA CECAFA CHALLENGE BAADA YA KUIPIGA TANZANIA BARA 2-0 CHAMAZI

    KENYA WATWAA KOMBE LA CECAFA CHALLENGE BAADA YA KUIPIGA TANZANIA BARA 2-0 CHAMAZI

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KENYA imefanikiwa kutwaa Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati kwa Wanawake, CECAFA Challenge baad...
    PRISONS YAICHAPA SINGIDA UNITED 1-0, NDANDA WAFA TENA NYUMBANI, NAMUNGO YAZINDUKA

    PRISONS YAICHAPA SINGIDA UNITED 1-0, NDANDA WAFA TENA NYUMBANI, NAMUNGO YAZINDUKA

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM TANZANIA Prisons imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania...
    Sunday, November 24, 2019
    SAMATTA AINGIA ’30 BORA’ TUZO YA MWANASOKA BORA, WAMO PIA SALAH, MANE NA MAHREZ

    SAMATTA AINGIA ’30 BORA’ TUZO YA MWANASOKA BORA, WAMO PIA SALAH, MANE NA MAHREZ

    Na Mwandishi Wetu, CAIRO NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta amejumuishwa kwenye orodha ya awali ya wachezaji 30 kuwania tuzo ya Mwan...
    STARS YAPANGWA KUNDI C KOMBE LA CHALLENGE NA MABINGWA WATETEZI, KENYA NA ZANZIBAR

    STARS YAPANGWA KUNDI C KOMBE LA CHALLENGE NA MABINGWA WATETEZI, KENYA NA ZANZIBAR

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM TANZANIA Bara ‘Kilimanjaro Stars’ wamepangwa Kundi C kwenye KOmbe la Mataifa yaAfrika Mashariki na Kati, ...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top