• HABARI MPYA

    Saturday, December 31, 2022
    AZAM FC YAMALIZA MWAKA NA USHINDI WA 6-1 DHIDI YA MBEYA CITY

    AZAM FC YAMALIZA MWAKA NA USHINDI WA 6-1 DHIDI YA MBEYA CITY

    WENYEJI, Azam FC wamefunga mwaka kwa kishindo baada ya kuwatandika Mbeya City mabao 6-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanj...
    YANGA YAMALIZA MWAKA KWA USHINDI WA 1-0 MANUNGU

    YANGA YAMALIZA MWAKA KWA USHINDI WA 1-0 MANUNGU

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameuga mwaka 2022 kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara...
    BODI YAFANYA MAREKEBISHO RATIBA LIGI KUU KUPISHA MAPINDUZI CUP

    BODI YAFANYA MAREKEBISHO RATIBA LIGI KUU KUPISHA MAPINDUZI CUP

    BODI ya Ligi imefanya marekebisho maalum ya ratiba ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza ...
    DODOMA JIJI YAWACHAPA KAGERA SUGAR 2-0

    DODOMA JIJI YAWACHAPA KAGERA SUGAR 2-0

    WENYEJI, Dodoma Jiji FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku wa Ijumaa ...
    Friday, December 30, 2022
    BOCCO NA NTIBANZOKIZA WAPIGA HAT TRICK SIMBA YAITANDIKA PRISONS 7-1

    BOCCO NA NTIBANZOKIZA WAPIGA HAT TRICK SIMBA YAITANDIKA PRISONS 7-1

    WENYEJI, Simba SC wamefunga mwaka vizuri baada ya ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ...
    SINGIDA STARS YAICHAPA GEITA GOLD 2-1 LITI

    SINGIDA STARS YAICHAPA GEITA GOLD 2-1 LITI

    WENYEJI, Singida Big Stars wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa LI...
    Thursday, December 29, 2022
    Wednesday, December 28, 2022
    MAN UNITED YAIBAMIZA NOTTINGHAM FOREST 3-0 OLD TRAFFORD

    MAN UNITED YAIBAMIZA NOTTINGHAM FOREST 3-0 OLD TRAFFORD

    WENYEJI, Manchester United wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Nottingham Forest katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana U...
    Tuesday, December 27, 2022
    SINGIDA BIG STARS YAWAPIGA DODOMA JIJI 1-0 PALE PALE JAMHURI

    SINGIDA BIG STARS YAWAPIGA DODOMA JIJI 1-0 PALE PALE JAMHURI

    BAO pekee la nyota Mbrazil, Bruno Gomes dakika ya 80 limeipa Singida Big Stars ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji FC katika mchezo...
    Monday, December 26, 2022
    POLISI TANZANIA YATOA SARE 3-3 NA COASTAL MOSHI

    POLISI TANZANIA YATOA SARE 3-3 NA COASTAL MOSHI

    WENYEJI, Polisi Tanzania wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 3-3 na Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja w...
    Sunday, December 25, 2022
    'NO FEISAL, NO PROBLEM' JANGWANI, YANGA YAICHAPA AZAM FC 3-2

    'NO FEISAL, NO PROBLEM' JANGWANI, YANGA YAICHAPA AZAM FC 3-2

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameonyesha wanaweza kuendelea kufanya vizuri bila kiungo Feisal Salum Abdallah aliyesusa akishinikiza kuondoka ...
    KAGERA SUGAR YALAZIMISHWA SARE 2-2 NA GEITA GOLD KAITABA

    KAGERA SUGAR YALAZIMISHWA SARE 2-2 NA GEITA GOLD KAITABA

    WENYEJI, Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya 2-2 na Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba mjini Bukob...
    PRISONS YAICHAPA MBEYA CITY 2-1 SOKOINE

    PRISONS YAICHAPA MBEYA CITY 2-1 SOKOINE

    TIMU ya Tanzania Prisons imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya mahasimu wao wa Jiji, Mbeya City leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Mab...
    Saturday, December 24, 2022
    BUSWITA APIGA BAO PEKEE  NAMUNGO YAICHAPA RUVU 1-0

    BUSWITA APIGA BAO PEKEE NAMUNGO YAICHAPA RUVU 1-0

    BAO pekee la kiungo Pius Buswita dakika ya 42 limeipa Namungo FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzani...
    IHEFU SC YAICHAPA MTIBWA SUGAR 3-1 MBARALI

    IHEFU SC YAICHAPA MTIBWA SUGAR 3-1 MBARALI

    WENYEJI, Ihefu SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Highland ...
    Friday, December 23, 2022
    SIMBA QUEENS NA YANGA PRINCESS ZAGAWANA POINTI KWA SARE YA 1-1

    SIMBA QUEENS NA YANGA PRINCESS ZAGAWANA POINTI KWA SARE YA 1-1

    TIMU za Simba Queens na Yanga Princess zimegawana pointi katika mechi ya Ligi Kuu ya Wanawake jana Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es S...
    Wednesday, December 21, 2022
    SIMBA SC YATOA SARE NA KAGERA SUGAR 1-1 KAITABA

    SIMBA SC YATOA SARE NA KAGERA SUGAR 1-1 KAITABA

    WENYEJI, Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Simba SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa K...
    GEITA GOLD YATOA SARE 1-1 NA AZAM FC NYANKUMBU

    GEITA GOLD YATOA SARE 1-1 NA AZAM FC NYANKUMBU

    WENYEJI, Geita Gold wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Nyankumbu ...
    PRISONS YAICHAPA DODOMA JIJI 2-0 SOKOINE

    PRISONS YAICHAPA DODOMA JIJI 2-0 SOKOINE

    WENYEJI, Tanzania Prisons wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja w...
    NAMUNGO FC YAICHAPA IHEFU SC 2-0 MAJALIWA

    NAMUNGO FC YAICHAPA IHEFU SC 2-0 MAJALIWA

    WENYEJI, Namungo FC wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku wa Jumanne Uwanja wa Maj...
    Tuesday, December 20, 2022
    MAYELE APIGA MBILI YANGA YAICHAPA COASTAL UNION 3-0 DAR

    MAYELE APIGA MBILI YANGA YAICHAPA COASTAL UNION 3-0 DAR

    MSHAMBULIAJI Mkongo, Fiston Kalala Mayele amefunga mabao mawili kuiwezesha Yanga SC kuibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Coastal Union ya Tan...
    RUVU SHOOTING NA MTIBWA SUGAR ZATOKA 0-0 UHURU

    RUVU SHOOTING NA MTIBWA SUGAR ZATOKA 0-0 UHURU

    TIMU za Mtibwa Sugar na Ruvu Shooting zimegawana pointi baada ya sare ya bila kufungana leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Kwa sare ...
    Sunday, December 18, 2022
    SIMBA SC YAITANDIKA GEITA GOLD 5-0 KIRUMBA

    SIMBA SC YAITANDIKA GEITA GOLD 5-0 KIRUMBA

    VIGOGO, Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya wenyeji, Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa CC...
    DODOMA JIJI YAWAPIGA MBEYA CITY 2-1 PALE PALE SOKOINE

    DODOMA JIJI YAWAPIGA MBEYA CITY 2-1 PALE PALE SOKOINE

    TIMU ya Dodoma Jiji FC imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Sok...
    Saturday, December 17, 2022
    YANGA SC YAITANDIKA POLISI 3-0 NA 'KUTANUA KIFUA' KILELENI

    YANGA SC YAITANDIKA POLISI 3-0 NA 'KUTANUA KIFUA' KILELENI

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanj...
    SINGIDA STARS YAICHAPA PRISONS 2-1 PALE PALE SOKOINE

    SINGIDA STARS YAICHAPA PRISONS 2-1 PALE PALE SOKOINE

    TIMU ya Singida Big Stars imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwan...
    KAGERA SUGAR YATOA SARE 2-2 NA AZAM FC KAITABA

    KAGERA SUGAR YATOA SARE 2-2 NA AZAM FC KAITABA

    WENYEJI, Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya 2-2 na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. ...
    MTIBWA SUGAR YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA NAMUNGO MANUNGU

    MTIBWA SUGAR YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA NAMUNGO MANUNGU

    WENYEJI, Mtibwa Sugar wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Manun...
    Thursday, December 15, 2022
    SIMBA, YANGA NA AZAM ZATENGANISHWA KOMBE LA MAPINDUZI

    SIMBA, YANGA NA AZAM ZATENGANISHWA KOMBE LA MAPINDUZI

    MABINGWA watetezi, Simba SC wamepangwa Kundi C pamoja na Mlandege na KVZ katika michuano ya Kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza Januari ...
    UFARANSA YAIFUATA ARGENTINA FAINALI KOMBE LA DUNIA

    UFARANSA YAIFUATA ARGENTINA FAINALI KOMBE LA DUNIA

    MABINGWA watetezi, Ufaransa wamefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la Dunia baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Morocco jana Uwanja wa Al Bayt mj...
    Wednesday, December 14, 2022
    ARGENTINA YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA

    ARGENTINA YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA

    TIMU ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Dunia baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Croatia jana Uwanja wa Lusail ...
    Tuesday, December 13, 2022
    TIMU 32 ZILIZOSALIA MICHUANO YA AZAM FEDERATION CUP

    TIMU 32 ZILIZOSALIA MICHUANO YA AZAM FEDERATION CUP

    HIZI ndizo timu zilizofuzu Hatua ya 32 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC).
    Monday, December 12, 2022
    Sunday, December 11, 2022
    YANGA NAYO YASHINDA 8-0 NA KUSONGA MBELE ASFC

    YANGA NAYO YASHINDA 8-0 NA KUSONGA MBELE ASFC

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wamefanikiwa kwenda Raundi ya Tatu ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Feder...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top