// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ARSENAL YAICHAPA WOLVES 2-0 NA KUREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEARSENAL YAICHAPA WOLVES 2-0 NA KUREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ARSENAL YAICHAPA WOLVES 2-0 NA KUREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND
TIMU ya Arsenal jana imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Wolverhampton Wanderers Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Mabao ya mshambuliaji Mbelgiji, Leandro Trossard dakika ya 45 na kiungo Mnorway, Martin Ødegaard dakika ya 90'+5 na kwa ushindi huo, Arsenal wanafikisha pointi 74 katika mchezo wa 33 na kurejea kileleni wakiwazidi pointi moja tu mabingwa watetezi, Manchester City ambao pia wana mechi moja mkononi. Kwa upande wao Wolverhampton Wanderers baada ya kichapo hicho wanabaki na pointi zao43 za mechi 33 nafasi ya 11.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment