// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
COASTAL UNION YAICHAPA MASHUJAA 2-1 PALE PALE KIGOMA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINECOASTAL UNION YAICHAPA MASHUJAA 2-1 PALE PALE KIGOMA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
COASTAL UNION YAICHAPA MASHUJAA 2-1 PALE PALE KIGOMA
TIMU ya Coastal Unión imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. Mabao ya Coastal Unión yamefungwa na Shedrack Malungwe dakika ya 10 na Bakari Suleiman dakika ya 57, wakati bao pekee la Mashujaa FC limefungwa na Omar Omar dakika ya 45. Kwa ushindi huo, Coastal Unión inafikisha pointi 33, ingawa inabaki nafasi ya nne, wakati Mashujaa inabaki na pointi zake 21 nafasi ya 12 baada ya wote kucheza mechi 22.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment