Mwanzo > YANGA > NI ARAJIGA TENA REFA WA SIMBA NA YANGA KESHOKUTWA HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI LIGI KUU BARA SIMBA YANGA NI ARAJIGA TENA REFA WA SIMBA NA YANGA KESHOKUTWA REFA Ahmed Arajiga kwa mara ya pili mfululizo amepewa dhamana ya kuchezesha mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara keshokutwa kuanzia Saa 11:00 jioni Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam. Thursday, April 18, 2024 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI LIGI KUU BARA SIMBA YANGA
0 comments:
Post a Comment