• HABARI MPYA

    Monday, February 28, 2022
    Sunday, February 27, 2022
    MAYELE ATETEMA MARA MBILI, YANGA YASHINDA 3-0

    MAYELE ATETEMA MARA MBILI, YANGA YASHINDA 3-0

    VINARA, Yanga SC wameuanza vyema mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Kagera Sugar usiku huu Uwanj...
    MBEYA CITY YAICHOMOLEA PRISONS JIONI KABISA, 1-1

    MBEYA CITY YAICHOMOLEA PRISONS JIONI KABISA, 1-1

    TIMU za Tanzania Prisons na Mbeya City zimegawana pointi baada ya sare ya 1-1 jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja...
    Saturday, February 26, 2022
    MTIBWA SUGAR YAICHAPA MBEYA KWANZA 2-1 SOKOINE

    MTIBWA SUGAR YAICHAPA MBEYA KWANZA 2-1 SOKOINE

    TIMU ya Mtibwa Sugar imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Mbeya Kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanj...
    Friday, February 25, 2022
    GEITA, NAMUNGO ZAFUNGUA MZUNGUKO WA PILI KWA SARE

    GEITA, NAMUNGO ZAFUNGUA MZUNGUKO WA PILI KWA SARE

    WENYEJI, Geita Gold wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa kwanza kabisa wa duru la pili Ligi Kuu ya Tanzan...
    LUSAJO AMFUNIKA MAYELE KWA MABAO LIGI KUU

    LUSAJO AMFUNIKA MAYELE KWA MABAO LIGI KUU

    MSHAMBULIAJI wa Namungo FC, Relliant Lusajo amemaliza mzunguko wa kwanza anaongoza kwa mabao Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kufumania ny...
    Thursday, February 24, 2022
    Wednesday, February 23, 2022
    YANGA SC YAWAPIGA MTIBWA 2-0 MANUNGU

    YANGA SC YAWAPIGA MTIBWA 2-0 MANUNGU

    VIGOGO, Yanga SC wamekamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar jioni ya le...
    Tuesday, February 22, 2022
    BIASHARA UNITED YAICHAPA AZAM FC 2-0 KIRUMBA

    BIASHARA UNITED YAICHAPA AZAM FC 2-0 KIRUMBA

    MABAO ya Collins Opare dakika ya  49 na James Shagara dakika ya 90 na ushei yameipa Biashara United ushindi wa 2-0 dhidi ya Azam FC katika m...
    NAMUNGO FC YAICHAPA MBEYA CITY 2-0 ILULU

    NAMUNGO FC YAICHAPA MBEYA CITY 2-0 ILULU

    WENYEJI, Namungo FC jana wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Ilulu mjini Li...
    Sunday, February 20, 2022
    Saturday, February 19, 2022

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top