• HABARI MPYA

    Wednesday, April 17, 2024

    STEPHANE AZIZ KI NDIYE MCHEZAJI BORA WA YANGA MWEZI MACHI

    KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki amechaguliwa Mchezaji Bora wa Yanga kwa mwezi Machi.
    Ki amewapiku beki Ibrahim Hamad ‘Bacca’ na kiungo Mudathir Yahya Abbas alioingia nao Fainali – na kwa ushindi huo atapatiwa kitita en cha Sh. Milioni 3 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya NIC Insurance.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: STEPHANE AZIZ KI NDIYE MCHEZAJI BORA WA YANGA MWEZI MACHI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top