• HABARI MPYA

    HABARI MOTOMOTO

    HABARI YA KIMATAIFA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    • HABARI ZA NYUMBANI
    • SIMBA
    • YANGA
    • AZAM
    Wednesday, April 08, 2026
    MUDA APIGA MBILI YANGA SC YAICHAPA PAMBA 3-0 KIRUMBA

    MUDA APIGA MBILI YANGA SC YAICHAPA PAMBA 3-0 KIRUMBA

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara...
    SINGIDA BLACK STARS YAZINDUKA NA KUICHAPA KMC 1-0 AIRTEL MWIGULU

    SINGIDA BLACK STARS YAZINDUKA NA KUICHAPA KMC 1-0 AIRTEL MWIGULU

    TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya KMC FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Airtel M...
    Monday, April 06, 2026
    COASTAL CHUPUCHUPU KUCHAPWA NA MTIBWA NYUMBANI, SARE 1-1 MKWAKWANI

    COASTAL CHUPUCHUPU KUCHAPWA NA MTIBWA NYUMBANI, SARE 1-1 MKWAKWANI

    WENYEJI, Coastal Union wamelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwan...
    Sunday, April 05, 2026
    AZAM FC NA SIMBA SC HAKUNA MBABE, ZATOKA SULUHU CHAMAZI

    AZAM FC NA SIMBA SC HAKUNA MBABE, ZATOKA SULUHU CHAMAZI

    TIMU za Azam FC na Simba SC zimetoshana nguvu kwa sare ya bila mabao katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa A...
    TRA UNITED YAICHAPA SINGIDA BLACK STARS 2-0 ARUSHA

    TRA UNITED YAICHAPA SINGIDA BLACK STARS 2-0 ARUSHA

    TIMU ya TRA United imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo...
    NAMUNGO FC YAAMBULIA SARE KWA JKT TANZANIA, 2-2 RUANGWA

    NAMUNGO FC YAAMBULIA SARE KWA JKT TANZANIA, 2-2 RUANGWA

    TIMU ya Namungo FC imelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja...
    Saturday, April 04, 2026
    YANGA YANG'ARA LIGI KUU, YAICHAPA TANZANIA PRISONS 3-0 MWENGE

    YANGA YANG'ARA LIGI KUU, YAICHAPA TANZANIA PRISONS 3-0 MWENGE

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku...
    MASHUJAA YABANWA NYUMBANI, YATOKA SULUHU NA PAMBA KIGOMA

    MASHUJAA YABANWA NYUMBANI, YATOKA SULUHU NA PAMBA KIGOMA

    TIMU ya Mashujaa imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni hii Uwanja wa...
    Friday, April 03, 2026
    MBEYA CITY YATOKA NYUMA NA KUICHAPA KMC 3-2 BABATI

    MBEYA CITY YATOKA NYUMA NA KUICHAPA KMC 3-2 BABATI

    TIMU ya Mbeya City imetoka nyuma na kushinda mabao 3-2 dhidi ya KMC FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa...
    DODOMA JIJI YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-0 JAMHURI

    DODOMA JIJI YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-0 JAMHURI

    TIMU ya Dodoma Jiji FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Fountain Gate FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mchana wa l...
    Thursday, April 02, 2026
    SIMBA SC YAICHAPA COASTAL UNION 2-0 UWANJA WA MEJA JENERALI ISAMUHYO

    SIMBA SC YAICHAPA COASTAL UNION 2-0 UWANJA WA MEJA JENERALI ISAMUHYO

    TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union ya Tanga usiku huu katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara U...
    Wednesday, April 01, 2026
    AZAM FC YANG'ARA UGENINI, YAILAZA SINGIDA BLACK STARS 2-1

    AZAM FC YANG'ARA UGENINI, YAILAZA SINGIDA BLACK STARS 2-1

    TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ...
    Sunday, March 29, 2026
    TANZANIA YAIBAMIZA MACAU 6-0 MICHUANO YA FIFA YA FIFA SERIES RWANDA

    TANZANIA YAIBAMIZA MACAU 6-0 MICHUANO YA FIFA YA FIFA SERIES RWANDA

    TIMU ya Tanzania imeibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Macau katika mchezo wa Kundi B kuwania nafasi tatu michuano ya FIFA Series jioni ...
    Thursday, March 26, 2026
    TAIFA STARS YACHAPWA 1-0 NA LIECHTENSTEIN MICHUANO YA FIFA SERIES KIGALI

    TAIFA STARS YACHAPWA 1-0 NA LIECHTENSTEIN MICHUANO YA FIFA SERIES KIGALI

    TANZANIA imefungwa bao 1-0 na Liechtenstein katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kundi B michuano ya FIFA Series jioni ya leo Uwanja wa Pele Jij...
    Monday, March 23, 2026

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    HABARI ZA ASIA

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top