• HABARI MPYA

    HABARI MOTOMOTO

    HABARI YA KIMATAIFA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    • HABARI ZA NYUMBANI
    • SIMBA
    • YANGA
    • AZAM
    Wednesday, April 22, 2026
    Tuesday, April 21, 2026
    YANGA YASHINDA 4-0 NA KWENDA NUSU FAINALI KOMBE LA MUUNGANO

    YANGA YASHINDA 4-0 NA KWENDA NUSU FAINALI KOMBE LA MUUNGANO

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wamefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Muungano baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya wenyeji, Muembe Mak...
    Sunday, April 19, 2026
    SIMBA SC YAIRARUA NAMUNGO FC 3-1 RUANGWA

    SIMBA SC YAIRARUA NAMUNGO FC 3-1 RUANGWA

    VIGOGO, Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya wenyeji, Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo ...
    Saturday, April 18, 2026
    FOUNTAIN GATE YAICHAPA MTIBWA SUGAR 2-1 ARUSHA

    FOUNTAIN GATE YAICHAPA MTIBWA SUGAR 2-1 ARUSHA

    TIMU ya Fountain Gate FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo ...
    ALPHONCE SIMBU KUSHIRIKI MBIO ZA BOSTON MARATHON 2026

    ALPHONCE SIMBU KUSHIRIKI MBIO ZA BOSTON MARATHON 2026

    MWANARIADHA nyota wa Kimataifa wa Tanzania Sajini Alphonce Felix Simbu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anatarajiwa kushiriki mbio za Bo...
    Friday, April 17, 2026
    AZAM FC YAICHAPA JKT TANZANIA 3-0 CHAMAZI

    AZAM FC YAICHAPA JKT TANZANIA 3-0 CHAMAZI

    TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiki hui Uwanja wa Az...
    TRA UNITED YAICHAPA PAMBA JIJI 1-0 ARUSHA

    TRA UNITED YAICHAPA PAMBA JIJI 1-0 ARUSHA

    TIMU ya TRA United imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja ...
    Thursday, April 16, 2026
    YANGA NI YA MOTO ILE MBAYA, YAITANDIKA MBEYA CITY 6-0

    YANGA NI YA MOTO ILE MBAYA, YAITANDIKA MBEYA CITY 6-0

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu U...
    MASHUJAA YATOA SARE NA SINGIDA BLACK STARS 1-1 KIGOMA

    MASHUJAA YATOA SARE NA SINGIDA BLACK STARS 1-1 KIGOMA

    TIMU ya Mashujaa FC imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya l...
    Wednesday, April 15, 2026
    COASTAL UNION YAICHAPA DODOMA JIJI 3-1 MKWAKWANI

    COASTAL UNION YAICHAPA DODOMA JIJI 3-1 MKWAKWANI

    TIMU ya Coastal Union imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwan...
    SIMBA SC YAIRARUA FOUNTAIN GATE 3-0 NA KUISOGELEA YANGA KILELENI

    SIMBA SC YAIRARUA FOUNTAIN GATE 3-0 NA KUISOGELEA YANGA KILELENI

    TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja ...
    Tuesday, April 14, 2026
    KMC FC YALAZIMISHWA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA PRISONS MWENGE

    KMC FC YALAZIMISHWA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA PRISONS MWENGE

    TIMU ya KMC imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa K...
    Sunday, April 12, 2026
    AZAM FC NAYO YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB, YAIPIGA FOUNTAIN GATE 4-0

    AZAM FC NAYO YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB, YAIPIGA FOUNTAIN GATE 4-0

    TIMU ya Azam FC imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baad...
    TRA UNITED YAITUPA NJE NAMUNGO KOMBE LA CRDB, YAICHAPA 2-0 PALE PALE RUANGWA

    TRA UNITED YAITUPA NJE NAMUNGO KOMBE LA CRDB, YAICHAPA 2-0 PALE PALE RUANGWA

    TIMU ya TRA United imetinga Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baada ya us...
    SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA MBEYA CITY 5-1 NA KUTINGA ROBO FAINALI CRDB

    SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA MBEYA CITY 5-1 NA KUTINGA ROBO FAINALI CRDB

    TIMU ya Singida Black Stars imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ...
    SIMBA SC YAICHAPA DODOMA JIJI 3-1 NA KUTINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CEDB

    SIMBA SC YAICHAPA DODOMA JIJI 3-1 NA KUTINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CEDB

    TIMU ya Simba SC imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baa...
    Saturday, April 11, 2026
    YANGA SC YATINGA ROBO FAINALI KWA MBINDE KOMBE LA CRDB

    YANGA SC YATINGA ROBO FAINALI KWA MBINDE KOMBE LA CRDB

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wamefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki...
    COASTAL UNION NAYO YATINGA NANE BORA KOMBE LA CRDB

    COASTAL UNION NAYO YATINGA NANE BORA KOMBE LA CRDB

    TIMU ya Coastal Union imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRD...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    HABARI ZA ASIA

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top