• HABARI MPYA

    HABARI MOTOMOTO

    HABARI YA KIMATAIFA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    • HABARI ZA NYUMBANI
    • SIMBA
    • YANGA
    • AZAM
    Thursday, September 21, 2023
    AZAM FC YAICHAPA SINGIDA FOUNTAIN GATE 2-1 CHAMAZI

    AZAM FC YAICHAPA SINGIDA FOUNTAIN GATE 2-1 CHAMAZI

    TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa...
    BAKEKE APIGA HAT-TRICK SIMBA YAICHAPA COASTAL UNION 3-0 UHURU

    BAKEKE APIGA HAT-TRICK SIMBA YAICHAPA COASTAL UNION 3-0 UHURU

    MSHAMBULIAJI Mkongo, Jean Othos Baleke amefunga mabao yote Simba ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Coastal Unión ya Tanga katika mchezo wa...
    Wednesday, September 20, 2023
    YANGA YAIZIMA NAMUNGO FC DAKIKA ZA MWISHONI, 1-0 CHAMAZI

    YANGA YAIZIMA NAMUNGO FC DAKIKA ZA MWISHONI, 1-0 CHAMAZI

    BAO la dakika ya 88 la kiungo Mzanzibari, Mudathir Yahya Abbas limeipa Yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya...
    MASHABIKI WANNE WA NAMUNGO WAFARIKI AJALINI WAKIIFUATA YANGA

    MASHABIKI WANNE WA NAMUNGO WAFARIKI AJALINI WAKIIFUATA YANGA

    SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetoa salamu za pole kufuatia vifo vya mashabiki wanne wa Namungo FC na wengine 16 kujeruhiwa kwenyeajal...
    KOCHA MJERUMANI AONDOKA SINGIDA BAADA YA WIKI MBILI TU

    KOCHA MJERUMANI AONDOKA SINGIDA BAADA YA WIKI MBILI TU

    KLABU ya Singida Fountain Gate imeachana na Kocha wake Mjerumani, Ernst Middendorp baada ya wiki mbili tu za kuwa kazini tangu arithi mikoba...
    NOVATUS DISMAS ACHEZA MWANZO MWISHO LIGI YA MABINGWA ULAYA

    NOVATUS DISMAS ACHEZA MWANZO MWISHO LIGI YA MABINGWA ULAYA

    KIUNGO wa Kimataifa wa Tanzania, Novatus Dismas Miroshi usiku wa jana amecheza kwa dakika zote 90 timu yake, FC Shakhtar Donetsk y Ukraine i...
    Tuesday, September 19, 2023
    Monday, September 18, 2023
    Sunday, September 17, 2023
    KAGERA SUGAR YAWACHAPA GEITA GOLD 1-0 KAITABA

    KAGERA SUGAR YAWACHAPA GEITA GOLD 1-0 KAITABA

    TIMU ya Kagera Sugar imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba...
    COASTAL UNION YASAINI MKATABA YA UDHAMINI NA MAKAMPUNI MAWILI

    COASTAL UNION YASAINI MKATABA YA UDHAMINI NA MAKAMPUNI MAWILI

    KATIBU Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Saidi Yakubu ametoa wito kwa makampuni mbalimbali ndani na nje ya Tanzania kujitokeza kud...
    Saturday, September 16, 2023
     MASHUJAA WAPANDA KILELENI LIGI KUU BAADA YA KUICHAPA IHEFU 2-0 KIGOMA

    MASHUJAA WAPANDA KILELENI LIGI KUU BAADA YA KUICHAPA IHEFU 2-0 KIGOMA

    WENYEJI, Mashujaa wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Lake Tang...
    CHAMA ASAWAZISHA MARA MBILI SIMBA YATOA DROO 2-2 ZAMBIA

    CHAMA ASAWAZISHA MARA MBILI SIMBA YATOA DROO 2-2 ZAMBIA

    TIMU ya Simba SC imetoa sare ya kufungana mabao 2-2 na wenyeji, Power Dynamos katika mchezo wa kwanza wa Hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa A...
    Friday, September 15, 2023
     DODOMA JIJI YAAMBULIA SARE 1-1 NA MTIBWA SUGAR

    DODOMA JIJI YAAMBULIA SARE 1-1 NA MTIBWA SUGAR

    WENYEJI, Dodoma Jiji FC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na majirani, Mtibwa Sugar ya Morogoro katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanz...
    TABORA UNITED YAWATANDIKA TANZANIA PRISONS 3-1 MWINYI

    TABORA UNITED YAWATANDIKA TANZANIA PRISONS 3-1 MWINYI

    TIMU ya Tabora United imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja w...
    Thursday, September 14, 2023
    CHANGALAWE AMTWANGA MUALGERIA NA KUTINGA FAINALI KUFUZU OLIMPIKI PARIS 2024

    CHANGALAWE AMTWANGA MUALGERIA NA KUTINGA FAINALI KUFUZU OLIMPIKI PARIS 2024

    BONDIA Yusuf Changalawe wa Tanzania amefanikiwa kutinga Fainali ya Mashindano ya kufuzu Michezo ya Olimpiki mwakani Paris baada ya ushindi w...
    Wednesday, September 13, 2023
    CHANGALAWE AMTWANGA MSENEGAL NA KUTINGA NUSU FAINALI KUFUZU OLIMPIKI

    CHANGALAWE AMTWANGA MSENEGAL NA KUTINGA NUSU FAINALI KUFUZU OLIMPIKI

    BONDIA Yusuf Changalawe amefanikiwa kutinga Nusu fainali ya Mashindano ya kuwania tiketi ya kucheza Michezo ya Olimpiki mwakani Paris baada ...
    LIGI YA NBC CHAMPIONSHIP KUONYESHWA KWA SH MILIONI 613 MIAKA MITATU

    LIGI YA NBC CHAMPIONSHIP KUONYESHWA KWA SH MILIONI 613 MIAKA MITATU

    SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeingia mkataba wa miaka mitatu na Kampuni ya Startimes kuonyesha Ligi ya NBC Championship (NBCCL) wenye...
    Tuesday, September 12, 2023

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top