• HABARI MPYA

    HABARI MOTOMOTO

    HABARI YA KIMATAIFA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    • HABARI ZA NYUMBANI
    • SIMBA
    • YANGA
    • AZAM
    Monday, March 02, 2026
    PAMBA NA AZAM FC NGOMA DROO MWANZA, ZAFUNGANA 2-2 CCM KIRUMBA

    PAMBA NA AZAM FC NGOMA DROO MWANZA, ZAFUNGANA 2-2 CCM KIRUMBA

    TIMU ya Azam FC imelazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 na wenyeji, Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya l...
    SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA COASTAL UNION 1-0 BAO LA GUEDE

    SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA COASTAL UNION 1-0 BAO LA GUEDE

    WENYEJI, Singida Black Stars wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya ...
    Sunday, March 01, 2026
    YANGA NA SIMBA HAKUNA MBABE, ZATOKA SULUHU ZANZIBAR

    YANGA NA SIMBA HAKUNA MBABE, ZATOKA SULUHU ZANZIBAR

    WATANI wa Jadi, Simba na Yanga wametoshana nguvu kwa sare ya bila mabao katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya watani, Simb...
    HASHEEM THABEET RAIS MPYA WA MPIRA WA KIKAPU TANZANIA

    HASHEEM THABEET RAIS MPYA WA MPIRA WA KIKAPU TANZANIA

    NYOTA wa zamani wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Marekani (NBA), Hasheem Thabeet amechaguliwa kuwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania ...
    Thursday, February 26, 2026
    NAMUNGO YATOA SARE 1-1 NA SINGIDA BLACK STARS RUANGWA

    NAMUNGO YATOA SARE 1-1 NA SINGIDA BLACK STARS RUANGWA

    Mshambuliaji Mkenya, Elvis Baranga Rupia akishangilia baada ya kuifungia Singida Black Stars bao la kuongoza TIMU ya Namungo FC imetoa sare ...
    TRA UNITED YAICHAPA FOUNTAIN GATE 4-1 KARATU

    TRA UNITED YAICHAPA FOUNTAIN GATE 4-1 KARATU

    Mshambuliaji wa TRA United, Enock Jiah Mkanga amekuwa Mchezaji Bora wa Mechi baada ya kufunga mabao mawili leo   TIMU ya TRA United imeibuka...
    Wednesday, February 25, 2026
    AZAM FC YAITANDIKA  MTIBWA SUGAR 3-0 CHAMAZI

    AZAM FC YAITANDIKA MTIBWA SUGAR 3-0 CHAMAZI

    TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku hui Uwanja wa Az...
    SIMBA SC YAKWAA KISIKI DODOMA, SULUHU NA DODOMA JIJI 0-0 JAMHURI

    SIMBA SC YAKWAA KISIKI DODOMA, SULUHU NA DODOMA JIJI 0-0 JAMHURI

    TIMU ya Simba SC imetoa sare ya bila kufungana na wenyeji, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa...
    YANGA YAIMIMINIA MABAO 5-0 JKT TANZANIA MWENGE

    YANGA YAIMIMINIA MABAO 5-0 JKT TANZANIA MWENGE

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya ...
    Monday, February 23, 2026
    YANGA SC YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 PALE PALE RUANGWA

    YANGA SC YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 PALE PALE RUANGWA

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji, Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usik...
    Sunday, February 22, 2026
    SIMBA SC YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-0 DODMA

    SIMBA SC YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-0 DODMA

    TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja ...
    AZAM FC ‘YAICHIMBIA KABURI’ KMC, YAICHAPA 2-0 MWENGE

    AZAM FC ‘YAICHIMBIA KABURI’ KMC, YAICHAPA 2-0 MWENGE

    TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa...
     SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA MTIBWA SUGAR 3-1 DODOMA

    SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA MTIBWA SUGAR 3-1 DODOMA

    TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mchana wa ...
    Thursday, February 19, 2026
    AZAM FC YAICHAPA ENDUMENT 1-0 NA KUSONGA MBELE KOMBE LA CRDB

    AZAM FC YAICHAPA ENDUMENT 1-0 NA KUSONGA MBELE KOMBE LA CRDB

    WENYEJI, Azam FC wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Endument FC ya Kilimanjaro Katina mchezo wa Raundi ya Pili Kombe la Shirikisho la ...
    SINGIDA BLACK STARS YASONGA MBELE KOMBE LA TFF

    SINGIDA BLACK STARS YASONGA MBELE KOMBE LA TFF

    WENYEJI, Singida Black Stars wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Copco FC ya Mwanza katika mchezo wa Raundi ya Pili Kombe la Shirikis...
    TFF YAZIINGIZA KAMPUNI ZA KUBASHIRI KWENYE ‘VITA’

    TFF YAZIINGIZA KAMPUNI ZA KUBASHIRI KWENYE ‘VITA’

    SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeziingiza kwenye ushindani mkali kampuni za michezo ya kubashiri baada ya kutangaza rasmi zab...
    Wednesday, February 18, 2026
    YANGA SC YAICHAPA COSMO 2-0 NA KUSONGA MBELE KOMBE LA CRDB

    YANGA SC YAICHAPA COSMO 2-0 NA KUSONGA MBELE KOMBE LA CRDB

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Cosmopolitan katika mchezo wa Raundi ya Pili Kombe la Shirikisho la S...
    Tuesday, February 17, 2026
    SIMBA SC YATINGA RAUNDI YA TATU KOMBE LA CRDB, KMC NJE

    SIMBA SC YATINGA RAUNDI YA TATU KOMBE LA CRDB, KMC NJE

    VIGOGO, Simba SC wamefanikiwa kwenda Raundi ya Tatu ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB ...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    HABARI ZA ASIA

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top