// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    HABARI MOTOMOTO

    HABARI YA KIMATAIFA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    • HABARI ZA NYUMBANI
    • SIMBA
    • YANGA
    • AZAM
    Thursday, February 06, 2025
    GIBRIL SILLAH APIGA MBILI AZAM FC YAICHAPA KMC 2-0 CHAMAZI

    GIBRIL SILLAH APIGA MBILI AZAM FC YAICHAPA KMC 2-0 CHAMAZI

    WENYEJI, Azam FC wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya KMC, mabao ya winga Mgambia, Gibril Sillah dakika ya 27 na 66 katika mchezo wa Ligi Ku...
    WYDAD YAMTAMBULISHA SULEIMAN MWALIMU KWA KISHINDO

    WYDAD YAMTAMBULISHA SULEIMAN MWALIMU KWA KISHINDO

    KLABU ya Wydad Athletic imemfanyia utambulisho mkubwa mshambuliaji chipukizi wa Kimataifa wa Tanzania, Suleiman Mwalimu Abdallah ‘Gomez’ (19...
    SIMBA SC YABANWA BABATI, SARE 1-1 NA FOUNTAIN GATE TANZANITE KWARAA

    SIMBA SC YABANWA BABATI, SARE 1-1 NA FOUNTAIN GATE TANZANITE KWARAA

    TIMU ya Simba SC imepunguzwa kasi baada ya kulazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji, Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC...
    TANZANIA PRISONS YAICHAPA MASHUJAA 2-1 UWANJA WA SOKOINE

    TANZANIA PRISONS YAICHAPA MASHUJAA 2-1 UWANJA WA SOKOINE

    WENYEJI, Tanzania Prisons wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mashujaa FC ya Kigoma katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara le...
    PAMBA JIJI YAICHAPA DODOMA JIJI 1-0 PALE PALE JAMHURI

    PAMBA JIJI YAICHAPA DODOMA JIJI 1-0 PALE PALE JAMHURI

    BAO pekee la mshambuliaji Mkenya, Mathew Tegisi Momanyi dakika ya 23 limetosha kuipa Pamba Jiji FC ushindi wa ugenini wa 1-0 dhidi ya wenyej...
    Wednesday, February 05, 2025
    TABORA UNITED YAZINDUKA NA KUICHAPA NAMUNGO FC 2-1

    TABORA UNITED YAZINDUKA NA KUICHAPA NAMUNGO FC 2-1

    TIMU ya Tabora United imezinduka na kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa A...
    MZIZE NA DUBE KILA MMOJA APIGA MBILI  YANGA YASHINDA 6-1

    MZIZE NA DUBE KILA MMOJA APIGA MBILI YANGA YASHINDA 6-1

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo U...
    KOCHA MPYA YANGA AMEFUNDISHA UFARANSA, KUWAIT, SAUDI ARABIA, MOROCCO NA KLABU KUBWA ALGERIA

    KOCHA MPYA YANGA AMEFUNDISHA UFARANSA, KUWAIT, SAUDI ARABIA, MOROCCO NA KLABU KUBWA ALGERIA

    KOCHA mpya wa Yanga, Miloud Hamdi (53), Mualgeria mwenye uraia wa Ufaransa ana uzoefu wa kufundisha soka tangu mwaka 2004 alipoanza na timu ...
    Tuesday, February 04, 2025
    Monday, February 03, 2025
    Sunday, February 02, 2025
    ATEBA APIGA MBILI SIMBA SC YAITANDIKA TABORA UNITED 3-0

    ATEBA APIGA MBILI SIMBA SC YAITANDIKA TABORA UNITED 3-0

    TIMU ya Simba SC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Tabora United katika mc...
    Saturday, February 01, 2025
    YANGA SC YAREJEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA KAGERA SUGAR 4-0

    YANGA SC YAREJEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA KAGERA SUGAR 4-0

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wamerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Kagera Sugar jion...
    Friday, January 31, 2025
    Tuesday, January 28, 2025
    TANZANIA YAWEKWA NA NIGERIA, TUNISIA NA UGANDA KUNDI C AFCON 2025

    TANZANIA YAWEKWA NA NIGERIA, TUNISIA NA UGANDA KUNDI C AFCON 2025

    TANZANIA imepangwa Kundi C katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zitakazofanyika kuanzia Desemba 21 mwaka huu hadi Janua...
    Monday, January 27, 2025
    Sunday, January 26, 2025

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top