• HABARI MPYA

    Saturday, September 30, 2017
    KANE AFUNGA MABAO MAWILI SPURS IKISHINDA 4-0 UGENINI

    KANE AFUNGA MABAO MAWILI SPURS IKISHINDA 4-0 UGENINI

    Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur katika ushindi wa 4-0 leo dhidi ya Huddersfield kwenye mchezo w...
    FELLAINI APIGA MBILI MAN UNITED YASHINDA 4-0 ENGLAND

    FELLAINI APIGA MBILI MAN UNITED YASHINDA 4-0 ENGLAND

    Marouane  Fellaini akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 35 na 49 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya  Crystal Palace ...
    AZAM FC YAWACHOMOLEA SINGIDA UNITED DAKIKA ZA MWISHONI

    AZAM FC YAWACHOMOLEA SINGIDA UNITED DAKIKA ZA MWISHONI

    Na Mwandishi Wetu, DODOMA TIMU ya Azam FC imelazimisha sare ya 1-1 na wenyeji wahamiaji, Singida United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodac...
    YANGA YAENDELEA KUSUASUA...YATOA SARE 0-0 NA MTIBWA SUGAR UHURU

    YANGA YAENDELEA KUSUASUA...YATOA SARE 0-0 NA MTIBWA SUGAR UHURU

    Na Salma Suleiman, DAR ES SALAAM MABINGWA watetezi, Yanga SC wameendeleza mwendo wa kusuasua katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baad...
    KLOPP AKIFURAHIA NA SADIO MANE MAZOEZINI LIVERPOOL

    KLOPP AKIFURAHIA NA SADIO MANE MAZOEZINI LIVERPOOL

    Kocha Mjerumani wa Liverpool,  Jurgen Klopp akifurahia na mchezaji wake , Msenegali Sadio Mane mazoezini viwanja vya  Melwood jana kujian...
    KOCHA MPYA BAYERN AANZA VIDAL MWENYE KADI NYINGI ZA NJANO

    KOCHA MPYA BAYERN AANZA VIDAL MWENYE KADI NYINGI ZA NJANO

    Kocha wa muda wa Bayern Munich, Willy  Sagnol anayeishikilia timu hiyo baada ya kuondoka kwa Mtaliano Carlo Ancelotti aliyefukuzwa juzi, ...
    Friday, September 29, 2017
    ROONEY  AFUNGA LAKINI EVERTON 'YAKABWA KOO' NYUMBANI ULAYA

    ROONEY AFUNGA LAKINI EVERTON 'YAKABWA KOO' NYUMBANI ULAYA

    Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia Everton bao la kusawazisha dakika ya 21 kufuatia Adrian Sardinero kuwafungia Apollon Limasso...
    CECAFA CHALLENGE YARUDI, KUFANYIKA KENYA 2017

    CECAFA CHALLENGE YARUDI, KUFANYIKA KENYA 2017

    BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limeitaja Kenya kuwa mwenyeji wa Kombe la mataifa ya ukanda huo, maarufu kama Se...
    ANCELOTTI AFUKUZWA BAYERN MUNICH BAADA YA 3-0 ZA PSG

    ANCELOTTI AFUKUZWA BAYERN MUNICH BAADA YA 3-0 ZA PSG

    KOCHA Carlo Ancelotti amefukuzwa  Bayern Munich  baada ya kuwa kazini kwa mwaka mmoja tu, kufuatia kipigo cha mabao 3-0 kwenye mchezo wa  L...
    Thursday, September 28, 2017
    NIGERIA KUWASILI DAR USIKU WA LEO KUIVAA TANZANIA JUMAPILI

    NIGERIA KUWASILI DAR USIKU WA LEO KUIVAA TANZANIA JUMAPILI

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM TIMU ya soka ya taifa ya wanawake wenye umri wa chini ya miaka 20 ya Nigeria ‘Falconets’ inatarajiwa kutu...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top