• HABARI MPYA

    Tuesday, June 16, 2026
    IRAN NA NEW ZEALAND NGOMA NGUMU, ZATOKA SARE 2-2 KOMBE LA DUNIA

    IRAN NA NEW ZEALAND NGOMA NGUMU, ZATOKA SARE 2-2 KOMBE LA DUNIA

    TIMU ya Iran imetoa sare ya kufungana bao 2-2 na New Zealand Alfajiri ya leo katika mchezo wa Kundi H Fainali za Kombe la Dunia Uwanja wa So...
    SAUDI ARABIA YATOA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA URUGUAY KOMBE LA DUNIA

    SAUDI ARABIA YATOA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA URUGUAY KOMBE LA DUNIA

    TIMU ya Saudi Arabia imetoa sare ya kufungana bao 1-1 na Uruguay usiku wa kuamkia leo katika mchezo wa Kundi G Fainali za Kombe la Dunia Uwa...
    UBELGIJI YAAMBULIA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA MISRI KOMBE LA DUNIA

    UBELGIJI YAAMBULIA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA MISRI KOMBE LA DUNIA

    TIMU ya Ubelgiji imetoa sare ya kufungana bao 1-1 na Misri katika mchezo wa Kundi G Fainali za Kombe la Dunia usiku huu Uwanja wa Lumen Fiel...
    Monday, June 15, 2026
    COASTAL UNION YAISINDIKIZA KMC CHAMPIONSHIP NA 3-1 MWENGE

    COASTAL UNION YAISINDIKIZA KMC CHAMPIONSHIP NA 3-1 MWENGE

    TIMU Coastal Union imeibuka na ushindi na I wa mabao 3-1 dhidi ya wenyeji, KMC FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya le...
    SWEDEN YAANZA NA MOTO KOMBE LA DUNIA, YAIBAMIZA TUNISIA 5-1

    SWEDEN YAANZA NA MOTO KOMBE LA DUNIA, YAIBAMIZA TUNISIA 5-1

    TIMU ya Sweden imeiadhibu vikali Tunisia kwa kuitandika mabao 5-1 Alfajiri ya leo katika mchezo wa Kundi F Fainali za Kombe la Dunia Uwanja ...
    IVORY COASY YAIPA AFRIKA USHINDI WA KWANZA KOMBE LA DUNIA 2026

    IVORY COASY YAIPA AFRIKA USHINDI WA KWANZA KOMBE LA DUNIA 2026

    TIMU ya Ivory Coast imeanza vyema Fainali za Kombe la Dunia baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Ecuador katika mchezo wa Kundi F usiku wa Jumap...
    UHOLANZI YALAZIMISHWA SARE YA KUFUNGANA 2-2 NA JAPAN KOMBE LA DUNIA

    UHOLANZI YALAZIMISHWA SARE YA KUFUNGANA 2-2 NA JAPAN KOMBE LA DUNIA

    UHOLANZI imelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Japan katika mchezo wa Kundi F Fainali za Kombe la Dunia usiku wa Jumapili Uwanja wa A...
    UJERUMANI YATOA ONYO KOMBE LA DUNIA, YAITANDIKA CURACAO 7-1 MAREKANI

    UJERUMANI YATOA ONYO KOMBE LA DUNIA, YAITANDIKA CURACAO 7-1 MAREKANI

    TIMU ya Ujerumani imeanza kwa kishindo Fainali za Kombe la Dunia baada ya ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Curaçao Jumapili kwenye mchezo wa Ku...
    Sunday, June 14, 2026
    TANZANIA PRISONS YAICHAPA DODOMA JIJI FC 3-1 UWANJA WA SOKOINE

    TANZANIA PRISONS YAICHAPA DODOMA JIJI FC 3-1 UWANJA WA SOKOINE

    WENYEJI, Tanzania Prisons wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya ...
    MPANZU NA LIBASSE GUEYE WAFUNGA SIMBA SC YAICHAPA PAMBA JIJI 2-1 MWENGE

    MPANZU NA LIBASSE GUEYE WAFUNGA SIMBA SC YAICHAPA PAMBA JIJI 2-1 MWENGE

    VIGOGO, Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja...
    MZALIWA WA KIGOMA AFUNGA BAO KOMBE LA DUNIA AUSTRALIA YASHINDA 2-0

    MZALIWA WA KIGOMA AFUNGA BAO KOMBE LA DUNIA AUSTRALIA YASHINDA 2-0

    TIMU ya Australia imeilaza Uturuki mabao 2-0 katika mchezo wa Kundi D Fainali za Kombe la Dunia Asubuhi ya leo Uwanja wa BC Place, Vancouver...
    SCOTLAND YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA, YAILAZA HAITI 1-0 FOXBOROUGH

    SCOTLAND YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA, YAILAZA HAITI 1-0 FOXBOROUGH

    TIMU ya Scotland imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Haiti katika mchezo wa Kundi C Fainali za Kombe la Dunia Alfajiri ya leo Uwanja wa ...
    BRAZIL NA MOROCCO MBAVU SAWA, ZATOA SARE 1-1 KOMBE LA DUNIA

    BRAZIL NA MOROCCO MBAVU SAWA, ZATOA SARE 1-1 KOMBE LA DUNIA

    TIMU ya Brazil imetoa sare ya kufungana bao 1-1 na Morocco katika mchezo wa Kundi C Fainali za Kombe la Dunia usiku wa Jumamosi Uwanja wa Me...
    QATAR YACHOMOA DAKIKA YA MWISHO KUPATA SARE 1-1 NA USWISI

    QATAR YACHOMOA DAKIKA YA MWISHO KUPATA SARE 1-1 NA USWISI

    BAO la kujifunga la dakika ya 90’+4 la kiungo wa Hamburger SV ya Ujerumani, Miro Max Maria Muheim liliisaidia Qatar kupata sare ya 1-1 na Us...
    Saturday, June 13, 2026
    SINGIDA BLACK STARS YAIADABISHA JKT TANZANIA, YAICHAPA 2-1 MBWENI

    SINGIDA BLACK STARS YAIADABISHA JKT TANZANIA, YAICHAPA 2-1 MBWENI

    TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, JKT Tanzania usiku huu katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanza...
    YANGA SC YAMEREMETA UGENINI LIGI KUU, YAILAZA MASHUJAA 2-0 KIGOMA

    YANGA SC YAMEREMETA UGENINI LIGI KUU, YAILAZA MASHUJAA 2-0 KIGOMA

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara j...
    MBEYA CITY YANG'ARA NYUMBANI, YAICHAPA MTIBWA SUGAR 1-0 SOKOINE

    MBEYA CITY YANG'ARA NYUMBANI, YAICHAPA MTIBWA SUGAR 1-0 SOKOINE

    TIMU ya Mbeya City imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mchana wa leo Uwanja ...
    BALOGUN APIGA MBILI MAREKANI YAILAMBA PARAGUAY 4-1 KOMBE LA DUNIA

    BALOGUN APIGA MBILI MAREKANI YAILAMBA PARAGUAY 4-1 KOMBE LA DUNIA

    WENYEJI, Marekani wameibuka na ushindi wa kishindo wa mabao 4-1 dhidi ya  Paraguay katika mchezo wa Kundi D Fainali za Kombe la Dunia Alfaji...
    Friday, June 12, 2026
    CHAMOU KARABOUE AFUNGA BAO PEKEE TRA UNITED YAICHAPA KMC 1-0 MWENGE

    CHAMOU KARABOUE AFUNGA BAO PEKEE TRA UNITED YAICHAPA KMC 1-0 MWENGE

    TIMU ya TRA United imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji, KMC FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja w...
    AZAM FC YANG'ARA UGENINI, YAICHAPA FOUNTAIN GATE 2-0 ARUSHA

    AZAM FC YANG'ARA UGENINI, YAICHAPA FOUNTAIN GATE 2-0 ARUSHA

    TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate FC  katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwan...
    COASTAL UNION YABANWA NYUMBANI, SAE 1-1 NA NAMUNGO MKWAKWANI

    COASTAL UNION YABANWA NYUMBANI, SAE 1-1 NA NAMUNGO MKWAKWANI

    WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uw...
    KOREA KUSINI YAILAMBA JAMHURI YA CZECH 2-1 KOMBE LA DUNIA

    KOREA KUSINI YAILAMBA JAMHURI YA CZECH 2-1 KOMBE LA DUNIA

    TIMU ya Korea Kusini imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Jamhuri ya Czech katika mchezo wa Kundi A Fainali za Kombe la Dunia Alfajiri ya leo...
    MEXICO YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA, YAICHAPA AFRIKA KUSINI 2-0

    MEXICO YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA, YAICHAPA AFRIKA KUSINI 2-0

    WENYEJI, Mexico wameanza vyema Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya ushindi wa mabao 2–0 dhidi ya Afrika Kusini katika mchezo wa Kundi A ...
    Monday, June 08, 2026
    Sunday, June 07, 2026
    KAGERA SUGAR NA GEITA GOLD ZAREJEA LIGI KUU YA NBC TANZANIA BARA

    KAGERA SUGAR NA GEITA GOLD ZAREJEA LIGI KUU YA NBC TANZANIA BARA

    TIMU za Geita Gold FC na Kagera Sugar FC zimefanikiwa kurejea Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi katika mechi zao za leo kila mo...
    Wednesday, June 03, 2026
    NI SENEGAL MABINGWA WA AFCON U17, SERENGETI BOYS YAFA KWA MATUTA

    NI SENEGAL MABINGWA WA AFCON U17, SERENGETI BOYS YAFA KWA MATUTA

    TIMU ya Senegal imefanikiwa kutwaa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17(AFCON U17) baada ya ushindi wa penalti 4-...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    HABARI ZA ASIA

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top