SIMBA SC YAWASILI KIGOMA KUIVAA MASHUJAA KESHO KOMBE LA TFF
KIKOSI cha Simba kimewasili salama Kigoma tayari kwa mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) dhidi ya wenyeji, Mashujaa FC kesho kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Lake Tanganyika. Hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo itakamilishwa kesho kwa mchezo kati ya Mabingwa watetezi, Yanga SC dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji FC kuanzia Saa 2:00 usiku Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Tayari timu sita zimekwishatinga Robo Fainali ambazo ni Azam FC, Singida Black Stars, zamani Ihefu SC, Coastal Union, Namungo FC, Geita Gold na Tabora United. GONGA KUTAZAMA PICHA ZAIDI SIMBA ILIVYOWASIKI KIGOMA
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment