• HABARI MPYA

    Sunday, January 31, 2016
    16 BORA KOMBE LA FA ENGLAND, MAN UNITED WAPEWA VIBONDE, CHELSEA NA MAN CITY, ARSENAL...

    16 BORA KOMBE LA FA ENGLAND, MAN UNITED WAPEWA VIBONDE, CHELSEA NA MAN CITY, ARSENAL...

    Kocha wa Man United, Louis Van Gaal TIMU ya Chelsea imepangwa kumenyana na Manchester City katika Raundi ya Tano ya Kombe la FA Cup  b...
    ULIMWENGU AENDELEA KUNG’ARA MAZEMBE BILA ‘KAMPANI’ YA SAMATTA

    ULIMWENGU AENDELEA KUNG’ARA MAZEMBE BILA ‘KAMPANI’ YA SAMATTA

    NYOTA ya Mtanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu (pichani kushoto) imeendelea kung’ara TP Mazembe baada ya jioni ya leo kufunga bao moja ka...
    YONDAN AWAOMBA RADHI YANGA KWA KADI NYEKUNDU NA KIPIGO CHA COSTAL, ASEMA WANAJIPANGA UPYA WASIRUDIE MAKOSA

    YONDAN AWAOMBA RADHI YANGA KWA KADI NYEKUNDU NA KIPIGO CHA COSTAL, ASEMA WANAJIPANGA UPYA WASIRUDIE MAKOSA

    Na Salma Isihaka, TANGA BEKI wa Yanga SC, Kevin Yondan (pichani kulia) amewaomba radhi mashabiki wa timu hiyo baada ya jana kutolewa kw...
    Saturday, January 30, 2016
    SUAREZ AIPIGIA LA USHINDI BARCA IKIILAZA 2-1 ATLETICO MADRID LA LIGA

    SUAREZ AIPIGIA LA USHINDI BARCA IKIILAZA 2-1 ATLETICO MADRID LA LIGA

    Mshambuliaji Luis Suarez akipiga ngumi hewani baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 2-1 Atletico Madrid leo ...
    YANGA ‘NDEMBENDEMBE’ MKWAKWANI, WACHEZEA 2-0 ZA COASTAL… SIMBA SC YAITANDIKA 4-0 AFRICAN SPORTS TAIFA

    YANGA ‘NDEMBENDEMBE’ MKWAKWANI, WACHEZEA 2-0 ZA COASTAL… SIMBA SC YAITANDIKA 4-0 AFRICAN SPORTS TAIFA

    MATOKEO NA RATIBA LIGI KUU YA VODACOM TZ BARA Januari 30, 2016 Coastal Union 2-0 Yanga SC Simba SC 4-0 African Sports JKT Ruvu 0-0 Maji...
    HANS POPPE AWAKUMBUSHIA TP MAZEMBE 'MAHELA' YA SIMBA SC

    HANS POPPE AWAKUMBUSHIA TP MAZEMBE 'MAHELA' YA SIMBA SC

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe amesema kwamba wanasubiri mgawo wao wa E...
    HATIMAYE PATO ATUA CHELSEA KWA MKOPO KUMALIZIA MSIMU DARAJANI

    HATIMAYE PATO ATUA CHELSEA KWA MKOPO KUMALIZIA MSIMU DARAJANI

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil, Alexandre Pato akikabidhiwa jezi ya Chelsea na Mkurugenzi wa Ufundi wa klabu hiyo, Michael Emenalo m...
    Friday, January 29, 2016
    Thursday, January 28, 2016
    SAFARI NJEMA MBWANA ALLY SAMATTA, KILA LA HERI KATIKA MAISHA MAPYA UBELGIJI

    SAFARI NJEMA MBWANA ALLY SAMATTA, KILA LA HERI KATIKA MAISHA MAPYA UBELGIJI

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akiwa ndani ya ndege ya KLM usiku wa jana kwa safari ya Ubelgiji kwenda kujiun...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top