• HABARI MPYA

    Saturday, February 29, 2020
    ISMAILA SARR APIGA MBILI LIVERPOOL YACHAPWA 3-0 VICARAGE

    ISMAILA SARR APIGA MBILI LIVERPOOL YACHAPWA 3-0 VICARAGE

    Mshambuliaji wa umri wa miaka 22 Msenegal, Ismaila Sarr (katikati) amefunga mabao mawili dakika za 54 na 60 katika ushindi wa 3-0 wa Watf...
    ALONSO AIPIGIA ZOTE MBILI CHELSEA YATOKA 2-2 NA BOURNEMOUTH

    ALONSO AIPIGIA ZOTE MBILI CHELSEA YATOKA 2-2 NA BOURNEMOUTH

    Marcos Alonso akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao yote mawili dakika za 33 na 85 katika sare ya 2-2 na wenyeji, AFC Bournemouth...
    NCHIMBI ATOKEA BENCHI NA KUIFUNGIA YANGA MABAO YOTE IKIWAPIGA 2-0 ALLIANCE FC TAIFA

    NCHIMBI ATOKEA BENCHI NA KUIFUNGIA YANGA MABAO YOTE IKIWAPIGA 2-0 ALLIANCE FC TAIFA

    Na Stella Theopist, DAR ES SALAAM  YANGA SC imepata ushindi wa kwanza katika mechi tano za Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kuichapa All...
    AZAM FC YAICHAPA JKT TANZANIA 1-0 DODOMA, NAMUNGO FC NAYO YAIPIGA 2-1 LIPULI SAMORA

    AZAM FC YAICHAPA JKT TANZANIA 1-0 DODOMA, NAMUNGO FC NAYO YAIPIGA 2-1 LIPULI SAMORA

    Na Mwandishi Wetu, DODOMA BAO la dakika ya 90 la mshambuliajii chipukizi, Andrew Simchimba limetosha kuipa Azam FC ushindi wa 1-0 ugenini ...
    Friday, February 28, 2020
    SHIME ANAAMINI TANZANIA ITAICHAPA UGANDA KESHO KUFUZU KOMBE LA DUNIA WANAWAKE U-17

    SHIME ANAAMINI TANZANIA ITAICHAPA UGANDA KESHO KUFUZU KOMBE LA DUNIA WANAWAKE U-17

    Na Stella Theopist, DAR ES SALAAM  KOCHA Mkuu wa timu ya wanawake u-17  ya Tanzania, Bakari Shime amesema kuwa kikosi kimejipanga kufanya ...
    ARSENAL YATUPWA NJE EUROPA LEAGUE BAADA YA KUPIGWA 2-1 EMIRATES

    ARSENAL YATUPWA NJE EUROPA LEAGUE BAADA YA KUPIGWA 2-1 EMIRATES

    Youssef El-Arabi akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Olympiacos dakika ya 119 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwe...
    Thursday, February 27, 2020
    RONALDO AKOSA 'BAO LA WAZI' JUVE YACHAPWA 1-0 NA LYON UFARANSA

    RONALDO AKOSA 'BAO LA WAZI' JUVE YACHAPWA 1-0 NA LYON UFARANSA

    Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo akisikitika baada ya kupoteza nafasi nzuri ya kufunga dakika ya 80 kwenye mchezo wa kwanza ha...
    MAN CITY WAIKANDAMIZA REAL MADRID 2-1 PALE PALE BERNABEU

    MAN CITY WAIKANDAMIZA REAL MADRID 2-1 PALE PALE BERNABEU

    Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City kwa penalti dakika ya 83 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Re...
    Wednesday, February 26, 2020
    YANGA SC YAICHAPA 1-0 GWAMBINA FC NA KUTINGA ROBO FAINALI AZAM SPORTS FEDERATION CUP

    YANGA SC YAICHAPA 1-0 GWAMBINA FC NA KUTINGA ROBO FAINALI AZAM SPORTS FEDERATION CUP

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM YANGA SC imeungana na mahasimu wao, Simba SC kutinga Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania...
    JONAS MKUDE AUNGANISHWA NA MORRISON KESI YA KUPIGA ‘VIWIKO’ KAMATI YA NIDHAMU TFF

    JONAS MKUDE AUNGANISHWA NA MORRISON KESI YA KUPIGA ‘VIWIKO’ KAMATI YA NIDHAMU TFF

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KIUNGO wa Simba SC, Jonas Gerald Mkude amepelekwa Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ...
    MAREFA WALIOKATAA BAO LA POLISI DHIDI YA YANGA MOSHI WAFUNGIWA MIEZI MITATU KILA MMOJA

    MAREFA WALIOKATAA BAO LA POLISI DHIDI YA YANGA MOSHI WAFUNGIWA MIEZI MITATU KILA MMOJA

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM MAREFA waliochezesha mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara baina ya wenyeji, Polisi Tanzania na Yanga SC ya D...
    RUVU SHOOTING YAPIGWA FAINI SH MILIONI 1, MASAU BWIRE APELEKWA KAMATI YA NIDHAMU

    RUVU SHOOTING YAPIGWA FAINI SH MILIONI 1, MASAU BWIRE APELEKWA KAMATI YA NIDHAMU

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM TIMU ya Ruvu Shooting FC imetozwa faini ya Sh Milioni 1 kwa kosa la timu hiyo kuingia uwanjani kwa kupiti...
     LUC EYMAEL NA TSHISHIMBI WAPIGWA FAINI KWA KUGOMA KUZUNGUMZA NA AZAM TV TANGA

    LUC EYMAEL NA TSHISHIMBI WAPIGWA FAINI KWA KUGOMA KUZUNGUMZA NA AZAM TV TANGA

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KOCHA wa Yanga SC, Mbelgiji Luc Eymael ametozwa faini ya Sh 500,000 kwa kosa la kukataa kufanya mahojiano...
    SERGE GNABRY APIGA MBILI BAYERN MUNICH YAICHAPA CHELSEA 3-0

    SERGE GNABRY APIGA MBILI BAYERN MUNICH YAICHAPA CHELSEA 3-0

    Serge Gnabry akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao mawili dakika za 51 na 54 kabla ya  Robert Lewandowski  kufunga la tatu ...
    GRIEZMANN AISAWAZISHIA BARCELONA YATOA SARE YA 1-1 NA NAPOLI ITALIA

    GRIEZMANN AISAWAZISHIA BARCELONA YATOA SARE YA 1-1 NA NAPOLI ITALIA

    Antoine Griezmann (kulia) akijiandaa kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 57 ikitoa sare ya 1-1 na wenye...
    Monday, February 24, 2020
    TWIGA STARS WALIVYOWASILI DAR ES SALAAM LEO BAADA YA KUSHIKA NAFASI YA PILI MICHUANO YA UNAF TUNISIA

    TWIGA STARS WALIVYOWASILI DAR ES SALAAM LEO BAADA YA KUSHIKA NAFASI YA PILI MICHUANO YA UNAF TUNISIA

    Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania ya wanawake, Twiga Stars wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es ...
    Sunday, February 23, 2020
    YANGA SC YAZIDI KUPOTEZA MATUMAINI YA UBINGWA BAADA YA SARE NYINGINE LEO MKWAKWANI

    YANGA SC YAZIDI KUPOTEZA MATUMAINI YA UBINGWA BAADA YA SARE NYINGINE LEO MKWAKWANI

    Na Mwandishi Wetu, TANGA NDOTO za ubingwa zimezidi kuyeyuka kwa vigogo, Yanga SC baada ya leo kulazimishwa sare ya nne mfululizo kufuatia ...
    LEVANTE YAICHAPA REAL MADRID 1-0 NA KUIONDOA KILELENI LA LIGA

    LEVANTE YAICHAPA REAL MADRID 1-0 NA KUIONDOA KILELENI LA LIGA

    Wachezaji wa Levante wakishangilia baada ya Jose Luis Morales kufunga bao pekee dakika ya 79 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Real Madrid k...
    Saturday, February 22, 2020
    JESUS APIGA BAO PEKEE MAN CTY YAICHAPA LEICESTR 1-0 KING POWER

    JESUS APIGA BAO PEKEE MAN CTY YAICHAPA LEICESTR 1-0 KING POWER

    Gabriel Jesus (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao pekee dakika ya 80 ikiilaza Leicester City 1-0 kwenye mchezo ...
    SAMATTA ACHEZA HADI MWISHO ASTON VILLA YAFUNGWA MECHI YA TATU MFULULIZO ENGLAND

    SAMATTA ACHEZA HADI MWISHO ASTON VILLA YAFUNGWA MECHI YA TATU MFULULIZO ENGLAND

    Na Mwandishi Wetu, HAMPSHIRE MSHAMBULAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta amecheza dakika zote 90, timu yake, Aston Villa iki...
    SIMBA SC YAICHAPA BIASHARA 3-1 NA KUZIDI KUUKARIBIA UBINGWA WA TATU MFULULIZO LIGI KUU

    SIMBA SC YAICHAPA BIASHARA 3-1 NA KUZIDI KUUKARIBIA UBINGWA WA TATU MFULULIZO LIGI KUU

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM MABINGWA watetezi, Simba SC wameendeleza wimbi la ushindi katika kampeni yao ya kutwaa taji la tatu mfulu...
    LIONEL MESSI APIGA NNE BARCELONA YAICHAPA EIBAR 5-0 LA LIGA

    LIONEL MESSI APIGA NNE BARCELONA YAICHAPA EIBAR 5-0 LA LIGA

    Lionel Messi akishangila kibabe baada ya kufunga mabao manne dakika za 14, 37, 40 na 87 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Eibar kwenye mchez...
    NAMUNGO FC YAICHAPA AZAM FC 1-0 NA KUJIWEKA SAWA KWENYE NAFASI YA TATU LIGI KUU

    NAMUNGO FC YAICHAPA AZAM FC 1-0 NA KUJIWEKA SAWA KWENYE NAFASI YA TATU LIGI KUU

    Na Mwandishi Wetu, RUANGWA TIMU ya Namungo FC imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni...
    GIROUD NA ALONSO WAFUNGA CHELSEA YAICHAPA TOTTENHAM 2-1

    GIROUD NA ALONSO WAFUNGA CHELSEA YAICHAPA TOTTENHAM 2-1

    Beki Marcos Alonso akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 48 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hot...
    TWIGA STARS YAKAMILISHA MICHUANO YA UNAF KWA KUTOA SARE YA 1-1 NA WENYEJI, TUNISIA

    TWIGA STARS YAKAMILISHA MICHUANO YA UNAF KWA KUTOA SARE YA 1-1 NA WENYEJI, TUNISIA

    Mchezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania, Amina Ally akimdhibiti mchezaji wa Tunisia kwenye mchezo wa mwisho wa michuano ya UNAF...
    RAIS WA TFF, WALLACE KARIA AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU ZITAKAZOSHIRIKI MICHUANO YA VIJANA U15 NA U17

    RAIS WA TFF, WALLACE KARIA AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU ZITAKAZOSHIRIKI MICHUANO YA VIJANA U15 NA U17

    Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia akikabidhi vifaa mbalimbali kwa Shule zitakazoshiriki Ligi za Wasichana na Wavul...
    WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AMFARIJI KATIBU MKUU WA TFF, KIDAO BAADA YA KUFIWA NA KAKA YAKE

    WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AMFARIJI KATIBU MKUU WA TFF, KIDAO BAADA YA KUFIWA NA KAKA YAKE

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa akisaini Kitabu cha maombolezo alipofika kumpa pole Katibu Mku...
    YANGA SC YATOZWA FAINI, MORRISON APELEKWA KAMATI YA NIDHAMU KWA KUMPIGA MCHEZAJI WA PRISONS

    YANGA SC YATOZWA FAINI, MORRISON APELEKWA KAMATI YA NIDHAMU KWA KUMPIGA MCHEZAJI WA PRISONS

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KLABU ya Yanga SC imetozwa faini ya Sh 500,000 kwa kosa la timu hiyo kushindwa kuwasilisha fomu ya wachez...
    AZAM FC YATOZWA FAINI SH MILION 1 KWA KUCHELEWA KUTOKA UWANJANI MECHI NA COASTAL

    AZAM FC YATOZWA FAINI SH MILION 1 KWA KUCHELEWA KUTOKA UWANJANI MECHI NA COASTAL

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KLABU ya Azam FC imetozwa faini ya Sh 1,000,000 kwa kosa la timu hiyo kuchelewa kutoka uwanjani kwenye me...
    STAND UNITED WAPIGWA FAINI SH 500,000 BAADA YA MASHABIKI WAKE KUWASHAMBULIA KWA GWAMBINA FC

    STAND UNITED WAPIGWA FAINI SH 500,000 BAADA YA MASHABIKI WAKE KUWASHAMBULIA KWA GWAMBINA FC

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KLABU ya Stand United FC imetozwa faini ya Sh 500,000 kwa kosa la mashabiki wake kufanya vurugu kubwa kwa...
    KOCHA ATOZWA FAINI SH 200,000 NA KUFUNGIWA MWEZI KWA KUMTUKANA REFA DARAJA LA PILI

    KOCHA ATOZWA FAINI SH 200,000 NA KUFUNGIWA MWEZI KWA KUMTUKANA REFA DARAJA LA PILI

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KOCHA wa makipa wa timu ya Eagle FC, Greyson Mwanjombewa ametozwa faini ya Tsh 200,000 na kufungiwa kwa k...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top