• HABARI MPYA

    Friday, September 30, 2022
    PRISONS YAICHAPA AZAM FC 1-0 SOKOINE

    PRISONS YAICHAPA AZAM FC 1-0 SOKOINE

    BAO pekee la Jeremiah Juma dakika ya 46, limeipa Tanzania Prisons ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara...
    MECHI ZA AZAM, SIMBA NA YANGA ZAAHIRISHWA

    MECHI ZA AZAM, SIMBA NA YANGA ZAAHIRISHWA

    SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeahirisha mechi tatu za Ligi Kuu ya Tanzania Bara ili kuzipa nafasi Azam, Simba na Yanga katika mechi z...
    Thursday, September 29, 2022
    RUVU SHOOTING YAIBAMIZA COASTAL UNION 2-1 DAR

    RUVU SHOOTING YAIBAMIZA COASTAL UNION 2-1 DAR

    WENYEJI, Ruvu Shooting wameibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Uhuru Ji...
    DODOMA JIJI YAZINDUKA, YAILAZA GEITA GOLD 1-0

    DODOMA JIJI YAZINDUKA, YAILAZA GEITA GOLD 1-0

    WENYEJI, Dodoma Jiji FC wamepata ushindi wa kwanza wa msimu katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kuichapa Geita Gold 1-0, bao pekee la...
    Wednesday, September 28, 2022
    TANZANIA YAPATA USHINDI WA KWANZA SOKA LA UFUKWENI COSAFA

    TANZANIA YAPATA USHINDI WA KWANZA SOKA LA UFUKWENI COSAFA

    TANZANIA imekaza msuli na kupata ushindi wa kwanza kwenye michuano ya Soka la Ufukweni ya COSAFA baada ya ushindi wa 5-2 dhidi ya Mauritius ...
    Tuesday, September 27, 2022
    Monday, September 26, 2022
    SHABIKI WA SIMBA, MAN UNITED ASHINDA SH. MILIONI 49.8 ZA 10BET

    SHABIKI WA SIMBA, MAN UNITED ASHINDA SH. MILIONI 49.8 ZA 10BET

    SHABIKI wa klabu ya Simba na timu ya Manchester United Derick Mustafa, ameshinda Sh49.8 milioni baada ya kubashiriki kwa kwa usahihi mechi 1...
    TANZANIA YAITOA SUDAN KUSINI KWA MABAO YA UGENINI AFCON U23

    TANZANIA YAITOA SUDAN KUSINI KWA MABAO YA UGENINI AFCON U23

    TANZANIA imefanikiwa kusonga mbele katika kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 23 licha...
    Sunday, September 25, 2022
    Saturday, September 24, 2022
    Friday, September 23, 2022
    TANZANIA YATOA SARE 0-0 NA SUDAN KUSINI CHAMAZI KUFUZU AFCON U23

    TANZANIA YATOA SARE 0-0 NA SUDAN KUSINI CHAMAZI KUFUZU AFCON U23

    TANZANIA imelazimishwa sare ya bila kufungana na Sudan Kusini katika mchezo wa kwanza Raundi ya Awali kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya ...
    Thursday, September 22, 2022
    MORRISON AFUNGIWA MECHI TATU, ARAJIGA KIKAANGONI

    MORRISON AFUNGIWA MECHI TATU, ARAJIGA KIKAANGONI

    WINGA Mghana wa Yanga, Bernard Morrison amefungiwa mechi tatu kwa kumchezea rafu mchezaji wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda katika mechi baina ya...
    MAKOCHA WOTE WA CHAMPIONSHIP WATAKIWA KUWA NA DIPLOMA C YA CAF

    MAKOCHA WOTE WA CHAMPIONSHIP WATAKIWA KUWA NA DIPLOMA C YA CAF

    SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) kimeagiza makocha wote wa timu za Championship wawe na Daraja la Elimu ya Diploma C ya Shirikisho la Soka ...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top