• HABARI MPYA

    Monday, May 20, 2024
    MASHUJAA YAICHAPA PRISONS 2-1 PALE PALE SOKOINE

    MASHUJAA YAICHAPA PRISONS 2-1 PALE PALE SOKOINE

    TIMU ya Mashujaa FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo U...
    MTIBWA SUGAR BADO KIDOGO TU KUIAGA RASMI LİGİ KUU

    MTIBWA SUGAR BADO KIDOGO TU KUIAGA RASMI LİGİ KUU

    WENYEJI, Mtibwa Sugar wamelazimishwa sare ya bila mabao na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Manungu C...
    Sunday, May 19, 2024
    AZİZ Kİ AIPELEKA YANGA FAINALI KOMBE LA TFF, IHEFU ‘YAFA KIUME’

    AZİZ Kİ AIPELEKA YANGA FAINALI KOMBE LA TFF, IHEFU ‘YAFA KIUME’

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wamefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ‘CRDB Bank Federation Cup’ baada ya us...
    Friday, May 17, 2024
    SIMBA YAICHAPA DODOMA JIJI FC 1-0 JAMHURI

    SIMBA YAICHAPA DODOMA JIJI FC 1-0 JAMHURI

    VIGOGO, Simba SC wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uw...
    YANGA SC WALIVYOWASILI ARUSHA KUIVAA IHEFU JUMAPILI

    YANGA SC WALIVYOWASILI ARUSHA KUIVAA IHEFU JUMAPILI

    KIKOSI cha Yanga kimewasili salama Jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) dhidi ya ...
    KMC YAICHAPA SINGIDA FOUNTAIN GATE 1-0 CHAMAZI

    KMC YAICHAPA SINGIDA FOUNTAIN GATE 1-0 CHAMAZI

    BAO pekee la mchezaji wa Kimataifa wa Somalia, Ibrahim Elias dakika ya 21 limeipa KMC ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida Fountain Gate katika m...
    Thursday, May 16, 2024
    AZAM FC YATUA MWANZA KUIVAA COASTAL NUSU FAINALI KOMBE LA TFF

    AZAM FC YATUA MWANZA KUIVAA COASTAL NUSU FAINALI KOMBE LA TFF

    KIKOSI cha Azam FC kimewasili salama Jijini Mwanza kwa ajili ya mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maaruf...
    SIMBA SC WAWASILI MAKAO MAKUU YA NCHI KUIVAA DODOMA JIJI

    SIMBA SC WAWASILI MAKAO MAKUU YA NCHI KUIVAA DODOMA JIJI

    KIKOSI cha Simba SC kimewasili salama Jijini Dodoma mapema leo kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, kesho ...
    Wednesday, May 15, 2024
    Tuesday, May 14, 2024
    DODOMA JIJI FC YAAMBULIA SULUHU KWA NAMUNGO JAMHURI

    DODOMA JIJI FC YAAMBULIA SULUHU KWA NAMUNGO JAMHURI

    WENYEJI, Dodoma Jiji FC sare ya bila mabao na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma....
    KOMBE LA KAGAME KUFANYIKA TANZANIA JULAI

    KOMBE LA KAGAME KUFANYIKA TANZANIA JULAI

    TANZANIA imeteuliwa kuwa Mwenyeji wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame ambayo itafanyika kuanz...
    JKT TANZANIA YAAMBULIA SARE 1-1 NA SINGIDA FG MBWENI

    JKT TANZANIA YAAMBULIA SARE 1-1 NA SINGIDA FG MBWENI

    WENYEJI, JKT Tanzania wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jana ...
    IHEFU YAWACHAPA PRISONS 1-0 PALE PALE SOKOINE

    IHEFU YAWACHAPA PRISONS 1-0 PALE PALE SOKOINE

    BAO pekee la Marouf Tchakei jana liliipa Ihefu SC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzani...
    Monday, May 13, 2024
    YANGA MABINGWA TENA LIGI KUU TZ BARA MARA TATU MFULULIZO NA 30 JUMLA

    YANGA MABINGWA TENA LIGI KUU TZ BARA MARA TATU MFULULIZO NA 30 JUMLA

    RASMI, Yanga ni mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa mara ya tatu mfululizo na mara ya 30 jumla baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi...
    SIMBA SC YAAMBULIA SARE KAITABA, 1-1 NA KAGERA SUGAR

    SIMBA SC YAAMBULIA SARE KAITABA, 1-1 NA KAGERA SUGAR

    WENYEJI, Kagera Sugar jana walilazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na Simba SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Kait...
    TABORA UNITED YAICHAPA MASHUJAA 1-0 UWANJA WA MWINYI

    TABORA UNITED YAICHAPA MASHUJAA 1-0 UWANJA WA MWINYI

    BAO pekee la Eric Okutu dakika ya 70 jana liliipa Tabora United ushindi wa 1-0 dhidi ya Mashujaa FC ya Kigoma katika mchezo wa Ligi Kuu ya N...
    Saturday, May 11, 2024
    NICOLAS JACKSON AIPIGIA LA USHINDI CHELSEA YAICHAPA NOTTINGHAM 3-2

    NICOLAS JACKSON AIPIGIA LA USHINDI CHELSEA YAICHAPA NOTTINGHAM 3-2

      TIMU ya Chelsea imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya wenyeji, Nottingham Forest katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Th...
    Friday, May 10, 2024
    DODOMA JIJI YAAMBULIA SULUHU KWA TANZANIA PRISONS

    DODOMA JIJI YAAMBULIA SULUHU KWA TANZANIA PRISONS

    WENYEJI, Dodoma Jiji wamelazimishwa sare ya mabao na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Jam...
    COASTAL UNION YAICHAPA SINGIDA FG 2-0 MKWAKWANI

    COASTAL UNION YAICHAPA SINGIDA FG 2-0 MKWAKWANI

    WENYEJI, Coastal Union wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku...
    MASAWE APIGA ZOTE MBILI NAMUNGO FC YAILAZA GEITA GOLD 2-0 RUANGWA

    MASAWE APIGA ZOTE MBILI NAMUNGO FC YAILAZA GEITA GOLD 2-0 RUANGWA

    WENYEJI, Namungo FC wameibukana ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Majali...
    Thursday, May 09, 2024
    SIMBA YAFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA, YAICHAPA AZAM 3-0 FEI TOTO AKOSA PENALTI

    SIMBA YAFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA, YAICHAPA AZAM 3-0 FEI TOTO AKOSA PENALTI

    TIMU ya Simba SC imefufua matumani ya ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Azam FC usiku huu Uwan...
    IHEFU YAAMBULIA SULUHU KWA JKT TANZANIA UWANJA WA LITI

    IHEFU YAAMBULIA SULUHU KWA JKT TANZANIA UWANJA WA LITI

    WENYEJI, Ihefu SC wamelazimishwa sare ya bila mabao na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa CCM LITI mj...
    MTIBWA SUGAR YAZINDUKA, YAICHAPA TABORA UNITED 3-0 MANUNGU

    MTIBWA SUGAR YAZINDUKA, YAICHAPA TABORA UNITED 3-0 MANUNGU

    WENYEJI, Mtibwa Sugar wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa ...
    Wednesday, May 08, 2024

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top