BAO pekee la kiungo Muingereza mwenye asili ya Nigeria, Eberechi Oluchi Eze dakika ya 14 limeipa Crystal Palace ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield Jijini Liverpool.
Kwa ushindi huo, Crystal Palace inafikisha pointi 33 na kusogea nafasi ya 14, wakati Liverpool inabaki na pointi zake 71 nafasi ya tatu baada ya wote kucheza mechi 32.
0 comments:
Post a Comment