• HABARI MPYA

    Friday, January 23, 2026
    DUKE ABUYA MCHEZAJI BORA, PEDRO KOCHA BORA LIGI KUU DESEMBA

    DUKE ABUYA MCHEZAJI BORA, PEDRO KOCHA BORA LIGI KUU DESEMBA

    KIUNGO Mkenya, Duke Ooga Abuya amechaguliwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa mwezi Desemba, huku Mreno, Pedro Valdemar Soa...
    STEPHANE AZIZ KI AJIUNGA NA AL ITTIHAD YA LIBYA

    STEPHANE AZIZ KI AJIUNGA NA AL ITTIHAD YA LIBYA

    MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki amejiunga na Al Ittihad ya Libya baada ya kuitumikia Wydad AC kwa nusu msimu tu ...
    Thursday, January 22, 2026
    DODOMA JIJI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 JAMHURI

    DODOMA JIJI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 JAMHURI

    TIMU ya Dodoma Jiji FC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwa...
    AHOUA AJIUNGA NA CR BELOUIZDAD KWA MKATABA WA MIAKA MIWILI A NUSU

    AHOUA AJIUNGA NA CR BELOUIZDAD KWA MKATABA WA MIAKA MIWILI A NUSU

    KLABU ya Chabab Riadhi Belouizdad, maarufu tu kama CR Belouizdad ya Algeria imemsajili kiungo mshambuliaji Muivory Coast, Jean Charles Ahoua...
    Wednesday, January 21, 2026
    MTIBWA SUGAR YAICHAPA MBEYA CITY 2-1 DODOMA

    MTIBWA SUGAR YAICHAPA MBEYA CITY 2-1 DODOMA

    TIMU ya Mtibwa Sugar imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City katika mfululizo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwa...
    Tuesday, January 20, 2026
    JKT TANZANIA YAICHAPA SINGIDA BLACK STARS 1-0

    JKT TANZANIA YAICHAPA SINGIDA BLACK STARS 1-0

    TIMU ya JKT Tanzania imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja...
    DIARRA AREJEA MAZOEZI YANGA BAADA YA KUIFIKISHA ROBO FAINALI MALI AFCON

    DIARRA AREJEA MAZOEZI YANGA BAADA YA KUIFIKISHA ROBO FAINALI MALI AFCON

    KIPA Djigui Diarra amejiunga na timu yake, Yanga leo baada ya mapumziko mafupi kufuatia Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 a...
    AZAM FC YAAMBULIA SULUHU KWA FOUNTAIN GATE CHAMAZI

    AZAM FC YAAMBULIA SULUHU KWA FOUNTAIN GATE CHAMAZI

    TIMU ya Azam FC imelazimishwa sare ya bila mabao na Fountain Gate FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa A...
    SIMBA SC YAMTAMBULISHA BEKI MPYA MUIVORY COAST ALIKUWA ANACHEZA ABU DHABI

    SIMBA SC YAMTAMBULISHA BEKI MPYA MUIVORY COAST ALIKUWA ANACHEZA ABU DHABI

    KLABU ya Simba imemtambulisha beki wa kati, Ismaël Olivier Touré (28) kujiunga na Wekundu hao wa Msimbazi akitokea FC Baniyas ya Abu Dhabi, ...
    Monday, January 19, 2026
    SIMBA SC YAMTAMBULISHA RASMI KIBABAGE KUJIUNGA ‘UNYAMANI’

    SIMBA SC YAMTAMBULISHA RASMI KIBABAGE KUJIUNGA ‘UNYAMANI’

    KLABU ya Simba SC imemtambulisha beki wa kushoto, Nickson Clement Kibabage (25) kuwa mchezaji wake mpya akijiunga na klabu hiyo kutoka Singi...
    DEPU AANZA VYEMA YANGA SC IKISHINDA 6-0 MWENGE

    DEPU AANZA VYEMA YANGA SC IKISHINDA 6-0 MWENGE

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya l...
    Sunday, January 18, 2026
    SIMBA SC YAAMBULIA SARE KWA MTIBWA SUGAR, 1-1 MBWENI

    SIMBA SC YAAMBULIA SARE KWA MTIBWA SUGAR, 1-1 MBWENI

    TIMU ya Simba SC imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja ...
    YANGA SC YAMSAJILI KIPA ALIYEIFAKIA STARS DHIDI YA TUNISIA NA MOROCCO AFCON

    YANGA SC YAMSAJILI KIPA ALIYEIFAKIA STARS DHIDI YA TUNISIA NA MOROCCO AFCON

    KLABU ya Yanga imemtambulisha kipa Hussein Masalanga (33) kuwa mchezaji wake mpya dirisha hili dogo akijiunga na Wananchi kutoka Singida Bla...
    Saturday, January 17, 2026
    SALAH NA MARMOUSH WAKOSA PENALTI NIGERIA YASHINDA NAFASI YA TATU AFCON

    SALAH NA MARMOUSH WAKOSA PENALTI NIGERIA YASHINDA NAFASI YA TATU AFCON

    TIMU ya Nigeria imefanikiwa kutwaa nafasi ya tatu katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 kwa ushindi wa penalti 4-2 kufua...
    AZAM FC YAITANDIKA COASTAL UNION 3-0 CHAMAZI

    AZAM FC YAITANDIKA COASTAL UNION 3-0 CHAMAZI

    WENYEJI, Azam FC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu ...
    SIMBA SC YAMTAMBULISHA WINGA MSENEGAL ALIYECHEZA HISPANIA

    SIMBA SC YAMTAMBULISHA WINGA MSENEGAL ALIYECHEZA HISPANIA

    KLABU ya Simba SC imemtambulisha winga wa kushoto wa Kimataifa wa Senegal, Libasse Gueye (22) kuwa mchezaji wake mpya akijiunga na Wekundu h...
    SENEGAL YAWASILISHA KURASA TATU ZA MALALAMIKO DHIDI YA MOROCCO KABLA YA FAINALI

    SENEGAL YAWASILISHA KURASA TATU ZA MALALAMIKO DHIDI YA MOROCCO KABLA YA FAINALI

    SHIRIKISHO la Soka la Senegal (FSF) limesitikishwa na mpangilio mbovu wa mambo kuelekea mchezo wa Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFC...
    Friday, January 16, 2026
    AHOUA AONDOKA SIMBA SC, AJIUNGA NA CR BELOUIZDAD

    AHOUA AONDOKA SIMBA SC, AJIUNGA NA CR BELOUIZDAD

    KIUNGO Muivory Coast, Jean Charles Ahoua (23) amejiunga na CR Belouizdad ya Algeria kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Simba SC. Kocha Mje...
    DODOMA JIJI NA SINGIDA BLACK STARS ZATOKA SARE 1-1 JAMHURI

    DODOMA JIJI NA SINGIDA BLACK STARS ZATOKA SARE 1-1 JAMHURI

    WENYEJI, Dodoma Jiji FC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na jirani zao, Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzani...
    NICKSON KIBABAGE AJIUNGA NA SIMBA SC BILA MALIPO

    NICKSON KIBABAGE AJIUNGA NA SIMBA SC BILA MALIPO

    BEKI wa kushoto, Nickson Clement Kibabage (25) amejiunga na klabu ya Simba SC akitokea Singida Black Stars kama mchezaji huru baada ya marid...
    Thursday, January 15, 2026
    YANGA SC YATAMBULISHA STRAIKA MUANGOLA ALIKUWA ANACHEZA ULAYA

    YANGA SC YATAMBULISHA STRAIKA MUANGOLA ALIKUWA ANACHEZA ULAYA

    KLABU ya Yanga imemtambulisha mshambuliaji wa Kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurélio ‘Depú’ (26) kuwa mchezaji wake mpya akitoke...
    Wednesday, January 14, 2026
    Tuesday, January 13, 2026
    YANGA WAIZIMA AZAM KWA MATUTA NA KUTWAA KOMBE LA MAPINDUZI

    YANGA WAIZIMA AZAM KWA MATUTA NA KUTWAA KOMBE LA MAPINDUZI

    TIMU ya Yanga SC imefanikiwa kutwaa Kombe la Mapinduzi baada ya ushindi wa penalti 5-4 dhidi ya Azam FC kufuatia sare ya bila kufungana ndan...
    Monday, January 12, 2026
    Sunday, January 11, 2026
    MISRI YAWAVUA UBINGWA IVORY COAST NA KUTINGA NUSU FAINALI AFCON

    MISRI YAWAVUA UBINGWA IVORY COAST NA KUTINGA NUSU FAINALI AFCON

    TIMU ya Misri imefanikiwa kwenda Nusu Fainali Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya mabingwa watetezi, Ivory Coa...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    HABARI ZA ASIA

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top