// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
LUSAJO MWAIKENDA AJITIA KITANZI AZAM FC HADI 2027 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINELUSAJO MWAIKENDA AJITIA KITANZI AZAM FC HADI 2027 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
BEKI Lusajo Elukaga Mwaikenda ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea na kazi Azam FC ambao utamuweka viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2027. Mwaikenda (23) ni zao lingine la uwekezaji katika soka ya vijana Azam FC ambaye baada ya kufanya vizuri Azam Academy alipelekwa KMC kwa mkopo Agosti 2020 kupata uzoefu kabla ya kurejea Juni mwaka Juni 2021 na moja kwa moja kuingia kikosi cha kwanza na kuaminiwa kiasi cha kuteuliwa Nahodha Msaidizi. GONGA KUTAZAMA PICHA ZAIDI
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment