• HABARI MPYA

    Friday, June 30, 2023
    NI MTIBWA NA GEITA GOLD FAINALI LIGI YA VIJANA U20

    NI MTIBWA NA GEITA GOLD FAINALI LIGI YA VIJANA U20

    TIMU za Mtibwa Sugar na Geita Gold zimefanikiwa kwenda Fainali ya Ligi Kuu ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 baada ya kuzitoa Azam FC na K...
    Thursday, June 29, 2023
    Wednesday, June 28, 2023
    AZAM, MTIBWA, KAGERA NA GEITA GOLD ZATINGA NUSU FAINALI LIGI YA U20

    AZAM, MTIBWA, KAGERA NA GEITA GOLD ZATINGA NUSU FAINALI LIGI YA U20

    TIMU za Azam FC, Mtibwa Sugar, Kagera Sugar na Geita Gold zimefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Ligi ya Vijana U20 baada ya ushindi kwenye mec...
    YANGA YATOZWA FAINI KWA MASHABIKI KUSHAMBULIA STEWARDS SOKOINE

    YANGA YATOZWA FAINI KWA MASHABIKI KUSHAMBULIA STEWARDS SOKOINE

    KLABU ya Yanga imetozwa faini ya Sh. Milioni 1 baada ya mashabiki wake kuwarushia chupa walinzi wa Uwanja wa Sokoine wakati wa mchezo wa Lig...
    Tuesday, June 27, 2023
    SIMBA NA AZAM ZOTE ‘LONYA LONYA’ LIGI YA VIJANA U20

    SIMBA NA AZAM ZOTE ‘LONYA LONYA’ LIGI YA VIJANA U20

    TIMU za Simba na Yanga zimekamilisha mechi zao za makundi bila ushindi katika Ligi ya Vijana chini ya umri wa miaka 20, michuano inayoendele...
    Monday, June 26, 2023
    MTIBWA, GEITA GOLD ZATINGA ROBO FAINALI LIGI YA U20

    MTIBWA, GEITA GOLD ZATINGA ROBO FAINALI LIGI YA U20

    MABINGWA watetezi, Mtibwa Sugar wamefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Ligi ya Vijana U20 baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Ruvu Shooting katika...
    Sunday, June 25, 2023
    Saturday, June 24, 2023
    SIMBA NA YANGA ZALA VICHAPO, AZAM YASHINDA LIGI YA U20

    SIMBA NA YANGA ZALA VICHAPO, AZAM YASHINDA LIGI YA U20

    VIGOGO, Simba na Yanga wameendelea kuboronga katika Ligi Kuu ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 baada ya wote kufungwa katika mechi za leo ...
    MASHUJAA WAIPIGA TENA MBEYA CITY PALE PALE SOKOINE NA KUPANDA LIGI KUU

    MASHUJAA WAIPIGA TENA MBEYA CITY PALE PALE SOKOINE NA KUPANDA LIGI KUU

    TIMU ya Mashujaa ya Kigoma imefanikiwa kupanda Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Mbeya City katika mch...
    Friday, June 23, 2023
    MTIBWA SUGAR YAENDELEZA UBABE LIGI YA VIJANA U20

    MTIBWA SUGAR YAENDELEZA UBABE LIGI YA VIJANA U20

    MABINGWA watetezi, Mtibwa Sugar wameendeleza ubabe katika Ligi Kuu ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Namu...
    NAMUNGO FC YAMTAMBULISHA ERASTO NYONI SIKU MOJA TU BAADA YA KUTEMWA SIMBA

    NAMUNGO FC YAMTAMBULISHA ERASTO NYONI SIKU MOJA TU BAADA YA KUTEMWA SIMBA

    KLABU ya Namungo FC ya Ruangwa mkoani Lindi imemtambulisha kiungo mkongwe anayeweza kucheza nafasi zote za ulinzi pembeni na katikati, Erast...
    Thursday, June 22, 2023
    COASTAL UNION YAACHANA WACHEZAJI SABA WAGENI WATANO

    COASTAL UNION YAACHANA WACHEZAJI SABA WAGENI WATANO

    TIMU ya Coastal Union ya Tanga imetangaza kuachana na wachezaji saba baada ya kumalizika msimu wakijakilishia kubaki Ligi Kuu ya NBC Tanzani...
    Wednesday, June 21, 2023
    MTIBWA SUGAR YAANZA NA MOTO LIGI YA VIJANA U20

    MTIBWA SUGAR YAANZA NA MOTO LIGI YA VIJANA U20

    MABINGWA watetezi, Mtibwa Sugar wameanza vyema Ligi Kuu ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 baada ya ushindi wa 5-0 dhidi ya Mbeya City kati...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top