KAKOLANYA ATOROKA KAMBINI SINGIDA FOUNTAIN GATE KABLA YA KUIVAA YANGA
KIPA Beno Kakolanya anadaiwa kutoroka kambini katika klabu yake, Singida Fountain Gate muda mfupi kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya Yanga. Singida Fountain Gate watamenyana na mabingwa watetezi, Yanga SC kuanzia Saa 10:00 jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza na uongozi umesema unafuatilia mienendo ya wachezaji wengine ili kujua kama wamehujumu timu.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment