// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); 2024 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE 2024 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, October 22, 2024
    YANGA YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI LİGİ KUU

    YANGA YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI LİGİ KUU

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameendeleza rekodi ya ushindi wa mechi zote tangu kuanza kwa msimu wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya le...
    SIMBA SC YAZINDUKA, YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 SOKOINE

    SIMBA SC YAZINDUKA, YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 SOKOINE

    TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo U...
    AISHI MANULA AREJESHWA TAIFA STARS KUWAKABILI SUDAN KUFUZU CHAN

    AISHI MANULA AREJESHWA TAIFA STARS KUWAKABILI SUDAN KUFUZU CHAN

    KİPA Aishi Salum Manula ndiye mkongwe pekee aliyeitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars cha wachezaji wanaocheza nyum...
    Monday, October 21, 2024
    MGUNDA AFUNGA MAWILI MASHUJAA YAITANDIKA KEN GOLD 3-0 KIGOMA

    MGUNDA AFUNGA MAWILI MASHUJAA YAITANDIKA KEN GOLD 3-0 KIGOMA

    WENYEJI, Mashujaa FC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Ken Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Lake Tanga...
    FOUNTAIN GATE YAILAMBA KMC MABAO 3-1 TANZANITE KWARAA

    FOUNTAIN GATE YAILAMBA KMC MABAO 3-1 TANZANITE KWARAA

    WENYEJI, Fountain Gate wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Tanzanite Kwa...
    TABORA UNITED YAFUKUZA MAKOCHA WAKE WAKENYA TIMU KUFANYA VIBAYA

    TABORA UNITED YAFUKUZA MAKOCHA WAKE WAKENYA TIMU KUFANYA VIBAYA

    KLABU ya Tabora United imeachana na Makocha wake Wakenya, Francis Kimanzi na Msaidizi wake, Yussuf Chipo baada ya kuwa na timu tangu mwanzo ...
    Sunday, October 20, 2024
    SINGIDA BLACK STARS YAILAZA NAMUNGO FC 2-0 LITI

    SINGIDA BLACK STARS YAILAZA NAMUNGO FC 2-0 LITI

    TIMU ya Singida Black Stars imeendelea kutamba kileleni mwa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Namungo FC ...
    PAMBA JIJI NA KAGERA SUGAR ZAGAWANA MABAO NA POINTI KIRUMBA

    PAMBA JIJI NA KAGERA SUGAR ZAGAWANA MABAO NA POINTI KIRUMBA

    WENYEJI, Pamba Jiji wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na jirani zao, Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo ...
    NGORONGORO HEROES MABINGWA MICHUANO YA CECAFA U20

    NGORONGORO HEROES MABINGWA MICHUANO YA CECAFA U20

    TANZANIA imetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati kwa vijana chini ya umri wa miaka 20, CECAFA U20 baada ya ushindi w...
    Friday, October 18, 2024
    LEONBET KUPELEKA WASHINDI WA BATA LA DERBY KI-VIP MECHI YA YANGA NA SIMBA

    LEONBET KUPELEKA WASHINDI WA BATA LA DERBY KI-VIP MECHI YA YANGA NA SIMBA

    Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KAMPUNI ya michezo ya kubashiri inayokua kwa kasi nchini, LEONBET, imeongeza ladha ya burudani kwa wateja w...
    BOCCO APIGA MBILI JKT TANZANIA YAITANDIKA TABORA UNITED 4-2 MBWENI

    BOCCO APIGA MBILI JKT TANZANIA YAITANDIKA TABORA UNITED 4-2 MBWENI

    WENYEJI, JKT Tanzania wameibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa ...
    AZAM FC YAWAZIMA PRISONS PALE PALE MBEYA, YAWAPIGA 2-0 SOKOINE

    AZAM FC YAWAZIMA PRISONS PALE PALE MBEYA, YAWAPIGA 2-0 SOKOINE

    TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa...
    COASTAL UNION YAICHAPA DODOMA JIJI 2-0 SHEIKH AMRI ABEID

    COASTAL UNION YAICHAPA DODOMA JIJI 2-0 SHEIKH AMRI ABEID

    TIMU ya Coastal Union ya Tanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo U...
    TANZANIA YAFUZU AFCON U20 BAADA YA KUITOA UGANDA MICHUANO YA CECAFA

    TANZANIA YAFUZU AFCON U20 BAADA YA KUITOA UGANDA MICHUANO YA CECAFA

    TANZANIA imekata tiketi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya...
    MPULIZA KIPYENGA SIMBA NA YANGA KESHO RAMADHANI KAYOKO

    MPULIZA KIPYENGA SIMBA NA YANGA KESHO RAMADHANI KAYOKO

    REFA Ramadhan Kayoko wa Dar es Salaam ndiye atakayechezesha mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga kesho Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Da...
    Tuesday, October 15, 2024
    TAIFA STARS YACHAPWA 2-0 NA DRC UWANJA WA MKAPA KUFUZU AFCON

    TAIFA STARS YACHAPWA 2-0 NA DRC UWANJA WA MKAPA KUFUZU AFCON

    TANZANIA imejiweka njia panda katika mbio za kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON 2025 baada ya kuchapwa mabao 2-0...
    Monday, October 14, 2024
    SULEIMAN GOMEZ MCHEZAJI BORA LİGİ KUU MWEZI SEPTEMBA

    SULEIMAN GOMEZ MCHEZAJI BORA LİGİ KUU MWEZI SEPTEMBA

    KIUNGO mshambuliaji wa Fountain Gate FC, Suleiman Mwalimu Abdallah ‘Gomez’ amechaguliwa mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa m...
    Sunday, October 13, 2024
    NGORONGORO HEROES YATINGA NUSU FAINALI CECAFA U20

    NGORONGORO HEROES YATINGA NUSU FAINALI CECAFA U20

    TANZANIA imefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA U20 baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya...
    Thursday, October 10, 2024
    NGORONGORO HEROES YAICHAPA SUDAN 1-0 CECAFA U20

    NGORONGORO HEROES YAICHAPA SUDAN 1-0 CECAFA U20

    TANZANIA imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Sudan katika mchezo wa Kundi A za Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA U20 ...
    Tuesday, October 08, 2024
    NGORONGORO YAZINDUKA CECAFA U20, YAITANDIKA DJIBOUTI 7-0

    NGORONGORO YAZINDUKA CECAFA U20, YAITANDIKA DJIBOUTI 7-0

    TANZANIA imefufua matumaini ya kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 mwakani kufuatia ushindi wa...
    Monday, October 07, 2024
    YANGA SC YAPANGWA NA MAZEMBE, AL HILAL YA SUDAN NA MC ALGER YA ALGERIA

    YANGA SC YAPANGWA NA MAZEMBE, AL HILAL YA SUDAN NA MC ALGER YA ALGERIA

    TIMU ya Yanga ya Tanzania imepangwa Kundi pamoja na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Al Hilal ya Sudan na MC Alger ya A...
    SIMBA YAPANGWA NA TIMU ZA ALGERIA, TUNISIA NA ANGOLA KOMBE LA SHIRIKISHO

    SIMBA YAPANGWA NA TIMU ZA ALGERIA, TUNISIA NA ANGOLA KOMBE LA SHIRIKISHO

    KLABU ya Simba SC imepangwa Kundi A katika Kombe la Shirikisho Afrika pamoja na  CS Sfaxien ya Tunisia, CS Constantine ya Algeria na Bravos ...
    Sunday, October 06, 2024
    Friday, October 04, 2024
    SIMBA SC YAPUNGUZA MWENDO LIGI KUU, SARE YA 2-2 NA COASTAL UNION MWENGE

    SIMBA SC YAPUNGUZA MWENDO LIGI KUU, SARE YA 2-2 NA COASTAL UNION MWENGE

    VIGOGO, Simba SC wamepunguzwa kasi baada ya kulazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya ...
    SINGIDA YAWACHAPA MASHUJAA WA KIGOMA 1-0 PALE PALE LAKE TANGANYIKA

    SINGIDA YAWACHAPA MASHUJAA WA KIGOMA 1-0 PALE PALE LAKE TANGANYIKA

    TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji, Mashujaa katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara uliofan...
    KEN GOLD YAPATA MNYONGE WAKE, YAILAMBA JKT 1-0 SOKOINE

    KEN GOLD YAPATA MNYONGE WAKE, YAILAMBA JKT 1-0 SOKOINE

    TIMU ya Ken Gold leo imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Sokoine J...
    AZAM FC YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 BAO LA LUSAJO ELUKAGA MWAIKENDA

    AZAM FC YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 BAO LA LUSAJO ELUKAGA MWAIKENDA

    BAO la dakika ya 78 la beki Lusajo Elukaga Mwaikenda usiku wa Alhamisi limeipa Azam FC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Namungo FC katika mc...
    Thursday, October 03, 2024
    YANGA YAANZA KUTOA DOZI NENE LİGİ KUU, YAICHAPA PAMBA 4-0 CHAMAZI

    YANGA YAANZA KUTOA DOZI NENE LİGİ KUU, YAICHAPA PAMBA 4-0 CHAMAZI

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Pamba Jiji FC ya Mwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bar...
    KMC YAANZA KUTOA CHECHE LIGI KUU, YAICHAPA KAGERA SUGAR 1-0 MWENGE

    KMC YAANZA KUTOA CHECHE LIGI KUU, YAICHAPA KAGERA SUGAR 1-0 MWENGE

    BAO pekee la Oscar Paul dakika ya 54 limeipa KMC ushindi wa 1-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwa...
    Wednesday, October 02, 2024
    DODOMA JIJI YAICHAPA TABORA UNITED MABAO 2-0 UWANJA WA JAMHURI

    DODOMA JIJI YAICHAPA TABORA UNITED MABAO 2-0 UWANJA WA JAMHURI

    WENYEJI, Dodoma Jiji wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa ...
    YANGA PRINCESS YAITOA SIMBA QUEENS KWA MATUTA NGAO YA JAMII

    YANGA PRINCESS YAITOA SIMBA QUEENS KWA MATUTA NGAO YA JAMII

    TIMU ya Yanga Princess imefanikiwa kuingia Fainali ya michuano ya Ngao ya Jamii kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara ba...
    Tuesday, October 01, 2024
    TANZANIA PRISONS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-2 SOKOINE

    TANZANIA PRISONS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-2 SOKOINE

    TIMU ya Tanzania Prisons imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja w...
    SAMATTA AREJESHWA TAIFA STARS KWA AJILI YA MECHI NA DRC KUFUZU AFCON

    SAMATTA AREJESHWA TAIFA STARS KWA AJILI YA MECHI NA DRC KUFUZU AFCON

    KAIMU Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Hemed Suleiman Morocco amefanikiwa kumrejesha kikosini Nahodha Mbwana Ally Samatta ambaye alidhamiriwa kust...
    Sunday, September 29, 2024
    YANGA YAICHAPA KMC 1-0 BAO PEKEE LA MAXI MPIA NZENGELI

    YANGA YAICHAPA KMC 1-0 BAO PEKEE LA MAXI MPIA NZENGELI

    BAO la dakika ya tano la kiungo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Maxi Mpia Nzengeli limeipa Yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya KMC kati...
    SIMBA SC YAICHAPA DODOMA JIJI 1-0 JAMHURI

    SIMBA SC YAICHAPA DODOMA JIJI 1-0 JAMHURI

    TIMU ya Simba SC imeendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji usi...
    MASHUJAA NA AZAM NGOMA DROO, 0-0 LAKE TANGANYIKA

    MASHUJAA NA AZAM NGOMA DROO, 0-0 LAKE TANGANYIKA

    WENYEJI, Mashujaa FC wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Lake Tang...
    SINGIDA BLACK STARS YAPUNGUZWA KASI, SARE 1-1 NA JKT LITI

    SINGIDA BLACK STARS YAPUNGUZWA KASI, SARE 1-1 NA JKT LITI

    TIMU ya Singida Black Stars imepunguawa kasi baada ya kulazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NB...
    MAMA MARIA NYERERE AWAOMBEA DUA WAENDESHA BAISKELI KUMBUKUMBU YA MWALIMU

    MAMA MARIA NYERERE AWAOMBEA DUA WAENDESHA BAISKELI KUMBUKUMBU YA MWALIMU

    Na Asha Kigundula, Dar es Salaam          MJANE wa hayati Mwalimu Julius  Nyerere, Mama Maria Nyerere ametoa maombi na dua kwa waendesha ba...
    Saturday, September 28, 2024
    NAMUNGO FC YAICHAPA PRISONS 1-0 MAJALIWA

    NAMUNGO FC YAICHAPA PRISONS 1-0 MAJALIWA

    TIMU ya Namungo FC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja ...
    COASTAL UNION YAANZA KUSHINDA MECHI ZAKE, YAICHAPA PAMBA 2-0

    COASTAL UNION YAANZA KUSHINDA MECHI ZAKE, YAICHAPA PAMBA 2-0

    TIMU ya Coastal Union imepata ushindi wa kwanza msimu wa 2024-2025 wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuichapa Pamba Jiji FC mabao 2-...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top