• HABARI MPYA

    Monday, October 30, 2023

    TANZANIA PRISONS YALAZIMISHWA SARE 0-0 NA GEITA GOLD SOKOINE


    WENYEJI, Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya 0-0 na Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. 
    Kwa matokeo hayo, Tanzania Prisons  wanafikisha pointi saba na kusogea nafasi ya 12, wakati Geita Gold inafikisha pointi sita na kusogea nafasi ya 15 baada ya wote kucheza mechi nane.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANIA PRISONS YALAZIMISHWA SARE 0-0 NA GEITA GOLD SOKOINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top