// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
IBRAHIM MAO AIUA MTIBWA UHURU, KMC YANG’ARA LIGI KUU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEIBRAHIM MAO AIUA MTIBWA UHURU, KMC YANG’ARA LIGI KUU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
IBRAHIM MAO AIUA MTIBWA UHURU, KMC YANG’ARA LIGI KUU
BAO pekee la Ibrahim Mao dakika ya 15 limetosha kuipa KMC ushindi wa 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Kwa ushindi huo, KMC inafikisha pointi 15 katika mchezo wa nane na kupanda nafasi ya tatu, wakati Mtibwa Sugar inabaki na pointi zake tano ikiendelea kushika mkia katika Ligi y timu 16 baada ya wote kucheza mechi nane.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment