• HABARI MPYA

    Monday, October 30, 2023

    AZAM FC YAMUONGEZA MKATABA YAHYA ZAYD HADI 2026


    KLABU ya Azam FC imemsainisha mkataba mpya wa miaka miwili na kiungo wake mshambuliaji, Yahya Zaid, ambao utamfanya aendelea kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YAMUONGEZA MKATABA YAHYA ZAYD HADI 2026 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top