// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ARSENE WENGER AJUMUIKA NA WACHEZAJI WA SIMBA SC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEARSENE WENGER AJUMUIKA NA WACHEZAJI WA SIMBA SC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MKUU wa Idara ya Maendeleo ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Mfaransa Arsene Wenger akiwa na kiungo Sadio Kanoute kutoka Mali, mfungaji wa bao la pili la Simba SC jana katika sare ya 2-2 na Al Ahly ya Misri Uwanja wa Benjamin kwenye mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya Afrika (AFL). Wenge, kocha wa zamani wa Arsenal alikuwa nchini kwa ajili ya kushuhudia ufunguzi wa michuano ya Ligi ya Afrika (AFL) inayofanyika kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa ushirikiano wa FIFA na CAF. VIDEO: ARSENE WENGER NA WACHEZAJI WA SIMBA SC
Nigeria unveils new Super Eagles coach Eric Chelle
-
The Nigeria Football Federation (NFF) officially unveiled Eric Chelle as
the new head coach of the Super Eagles during a ceremony at the Moshood
Abiola Sta...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment