// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KAGERA SUGAR NA NAMUNGO FC HAKUNA MBABE, SARE 1-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KAGERA SUGAR NA NAMUNGO FC HAKUNA MBABE, SARE 1-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, October 04, 2023

    KAGERA SUGAR NA NAMUNGO FC HAKUNA MBABE, SARE 1-1


    WENYEJI. Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
    Kagera Sugar walitanguli kwa bao la Ally Nassor ‘Ufudu’ dakika ya 34, kabla ya Pius Buswita kuisawazishia Namungo FC dakika ya 72.
    Kwa matokeo hayo, Kagera Sugar inafikisha pointi tano na kusogea nafasi ya tisa, wakati Namungo FC wanafikisha pointi tatu nafasi ya 12 baada ya wote kucheza mechi tano.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAGERA SUGAR NA NAMUNGO FC HAKUNA MBABE, SARE 1-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top