• HABARI MPYA

    Tuesday, October 03, 2023

    JKT TANZANIA YAICHAPA MASHUJAA FC 1-0 KAMBARAGE


    BAO pekee la mshambuliaji Edward Songo dakika ya 80 limeipa JKT Tanzania ushindi wa 1-0 dhidi ya Mashujaa FC ya Kigoma katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC leo Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
    Ushindi huo unaifanya JKT Tanzania ifikishe pointi saba, wakati Mashujaa inabaki na pointi zake nane baada ya wote kucheza mechi tano.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JKT TANZANIA YAICHAPA MASHUJAA FC 1-0 KAMBARAGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top