// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
GEITA GOLD YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA DODOMA JIJI NYANKUMBU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEGEITA GOLD YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA DODOMA JIJI NYANKUMBU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
GEITA GOLD YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA DODOMA JIJI NYANKUMBU
WENYEJI, Geita Gold wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa shule ya sekondari ya Nyanmkumbu mjini Geita. Mabao ya Geita Gold yamefungwa na Tariq Seif dakika ya 10 na Hassan Mahmoud dakika ya 86, wakati ya Dodoma Jiji yote yamefungwa na Hassan Mwaterema dakika ya 62 na 64. Kwa matokeo hayo, Geita Gold inafikisha pointi tano nafasi ya 12 na Dodoma Jiji pointi sita na inasogea nafasi ya 10 kutoka ya 12 baada ya wote kucheza mechi sita.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment