// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
AUCHO, AZIZ KI NA DIARRA WAENDA KUTUMIKIA TIMU ZAO ZA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEAUCHO, AZIZ KI NA DIARRA WAENDA KUTUMIKIA TIMU ZAO ZA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
AUCHO, AZIZ KI NA DIARRA WAENDA KUTUMIKIA TIMU ZAO ZA TAIFA
WACHEZAJI watatu wa kigeni Yanga SC, kipa wa Kimataifa wa Mali, Djigui Diarra na viungo Mganda Khalid Aucho na Mburkinabe Stephane Aziz Ki wamekwenda kujiunga na timu zao za taifa. Kikosi cha Yanga kinaendelea na mazoezi baada ya kurejea Dar es Salaam kutoka Mwanza ambako Jumamosi waliichapa Geita Gold 3-0 katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC Uwanja wa CCM Kirumba. Haijajulikana Kocha Mualgeria wa Taifa Stars, Adel Amrouche ataita wachezaji wangapi wa Yanga kwenye kikosi chake, maana sera zake kwa sasa kutotangaza kikosi katika vyombo vya Habari.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment