KIUNGO Mkongo, Yanick Litombo Bangala (kulia) akiwa kwenye mazoezi ya Azam FC jana ikijiandaa na kuikabili Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Jumatatu Saa 12:30 jioni Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam.
PICHA: AZAM FC WAKIWA MAZOEZINI CHAMAZI
0 comments:
Post a Comment