// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
FEISAL AFUNGA BAO PEKEE AZAM FC YAICHAPA COASTAL 1-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEFEISAL AFUNGA BAO PEKEE AZAM FC YAICHAPA COASTAL 1-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
FEISAL AFUNGA BAO PEKEE AZAM FC YAICHAPA COASTAL 1-0
TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Coastal Unión katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga. Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, kiungo Feisal Salum Abdallah dakika ya 45 na kwa ushindi huo Azam FC inafikisha pointi 13 katika mchezo wa tano na kupanda kileleni mwa Ligi Kuu ikiizidi pointi moja Simba SC ambayo pia ina mechi moja mkononi. Kwa upande wao Coastal Unión leo wametimiza mechi tano za kucheza wakiwa na pointi mbili tu katika nafasi ya 15 kwenye Ligi ya timu 16.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment