TWIGA STARS WAKIJIFUA KUJIANDAA KUIKABILI BOTSWANA WIKI IJAYO
WACHEZAJI wa timu ya taifa ya wanawake, 'Twiga Stars’ wakiwa mazoezini Uwanja wa Kituo cha Ufundi cha TFF, Kigamboni, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Raundi ya Pili kufuzu Olimpiki ya mwakani Paris dhidi ya Botswana Oktoba 26 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Timu hizo zitarudiana Oktoba 31, Uwanja wa Taifa wa Gaborone na mshindi wa jumla atakutana na mshindi wa jumla kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Afrika Kusini katika Raundi ya Nne. Kuna raundi ya Tano pia nay a mwisho na baada ya timu mbil zitaiwakilisha Afrika huko Paris.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment