// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
CHELSEA YAIFUMUA BURNLEY 4-1 PALE PALE TURF MOOR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINECHELSEA YAIFUMUA BURNLEY 4-1 PALE PALE TURF MOOR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TIMU ya Chelsea imetoka nyuma na kuichapa Burnley FC mabao 4-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Turf Moor mjini Burnley. Mshambuliaji Mfaransa, Wilson Odobert alianza kuifungia Burnley dakika ya 15, lakini beki Mbelgiji Ameen akajifunga dakika ya 42 kuisawazishia Chelsea, kabla ya C. Palmer kufunga la pili kwa penalti ya 50, Raheem Sterling la tatu dakika ya 65 na Nicolas Jackson la nne dakika ya 74. Kwa ushindi huo, Chelsea inafikisha pointi 11 na kusogea nafasi ya 10, wakati Burnley inabaki na pointi zake nne nafasi ya 18 baada ya wote kucheza mechi nane.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment