Sudan ilitangulia kwa bao la mshambuliaji wa Al Hilal, Musab Ahmed Alsharif Eisa dakika ya saba, kabla ya kiungo wa Azam FC, Sospeter Israel Bajana kuisawazishia Tanzania dakika ya 40.
TAIFA STARS YATOA SARE 1-1 NA SUDAN LEO SAUDIA ARABIA
Sudan ilitangulia kwa bao la mshambuliaji wa Al Hilal, Musab Ahmed Alsharif Eisa dakika ya saba, kabla ya kiungo wa Azam FC, Sospeter Israel Bajana kuisawazishia Tanzania dakika ya 40.
0 comments:
Post a Comment