// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); IHEFU YAICHAPA YANGA 2-1 MBARALI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE IHEFU YAICHAPA YANGA 2-1 MBARALI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, October 04, 2023

    IHEFU YAICHAPA YANGA 2-1 MBARALI


    WENYEJI, Ihefu SC wametoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya mabingwa watetezi, Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Highland Estate, Mbarali mkoani Mbeya.
    Yanga ilitangulia kwa bao la kiungo wake Muivory Coast, Pacome Zouazoua dakika ya nne, kabla ya Ihefu kuzinduka kwa mabao ya Lenny Kissu dakika ya 40 na Charles Ilamfya dakika ya 67.
    Kwa ushindi huo, Ihefu inafikisha pointi sita na kusogea nafasi ya saba, wakati Yanga inabaki na pointi zake tisa nafasi ya pili baada ya wote kucheza mechi nne.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IHEFU YAICHAPA YANGA 2-1 MBARALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top