WENYEJI, Ihefu SC wametoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya mabingwa watetezi, Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Highland Estate, Mbarali mkoani Mbeya. Yanga ilitangulia kwa bao la kiungo wake Muivory Coast, Pacome Zouazoua dakika ya nne, kabla ya Ihefu kuzinduka kwa mabao ya Lenny Kissu dakika ya 40 na Charles Ilamfya dakika ya 67. Kwa ushindi huo, Ihefu inafikisha pointi sita na kusogea nafasi ya saba, wakati Yanga inabaki na pointi zake tisa nafasi ya pili baada ya wote kucheza mechi nne.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment