// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
COASTAL UNION YAICHAPA MASHUJAA FC 2-0 MKWAKWANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINECOASTAL UNION YAICHAPA MASHUJAA FC 2-0 MKWAKWANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TIMU ya Coastal Unión ya Tanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga. Mabao ya Coastal Unión yamefungwa na Bakari Suleiman dakika ya 19 na Lucas Kikoti dakika ya 89 kwa penalti na kwa ushindi huo wanafikisha pointi sita na kusogea nafasi ya 12, wakati Mashujaa inabaki na pointi zake nane nafasi ya sita baada ya wote kucheza mechi saba.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment