// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KMC YAIZIMA IHEFU SC 1-0 UHURU BAO PEKEE LA IBRAHIM ELIAS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KMC YAIZIMA IHEFU SC 1-0 UHURU BAO PEKEE LA IBRAHIM ELIAS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, October 07, 2023

    KMC YAIZIMA IHEFU SC 1-0 UHURU BAO PEKEE LA IBRAHIM ELIAS


    BAO pekee la Ibrahim Elias dakika ya 58 limeipa KMC ushindi wa 1-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
    Kwa ushindi huo, KMC inafikisha pointi 10 na kusogea nafasi ya nne, wakati Ihefu SC inabaki na pointi zake sita nafasi ya nane baada ya wote kucheza mechi tano.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KMC YAIZIMA IHEFU SC 1-0 UHURU BAO PEKEE LA IBRAHIM ELIAS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top