// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN UNITED YAWAKANDA VIBONDE SHEFFIELD UNITED 2-1 BRAMALL - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN UNITED YAWAKANDA VIBONDE SHEFFIELD UNITED 2-1 BRAMALL - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAN UNITED YAWAKANDA VIBONDE SHEFFIELD UNITED 2-1 BRAMALL
TIMU ya Manchester United imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Sheffield United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Bramall Lane, Sheffield. Mabao ya Manchester United yamefungwa na Scott McTominay dakika ya 28 na Diogo Dalot dakika ya 77, wakati la Sheffield United limefungwa na Oliver Robert McBurnie kwa penalti dakika ya 34 kwa penalti. Kwa ushindi huo, Manchester United inafikisha pointi 15 na kusogea nafasi ya nane, wakati Sheffield United inabaki na pointi yake moja nafasi ya mwisho kwenye ligi ya timu 20 baada ya wote kucheza mechi tisa.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment