// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAN CITY YAICHAPA RB LEIPZIG 3-1 UJERUMANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAN CITY YAICHAPA RB LEIPZIG 3-1 UJERUMANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, October 05, 2023

    MAN CITY YAICHAPA RB LEIPZIG 3-1 UJERUMANI


    MABINGWA watetezi, Manchester City wameibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, RB Leipzig katika mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig.
    Mabao ya Manchester City yamefungwa na Phil Foden dakika ya 25, Julian Alvarez dakika ya 84 na Jeremy Doku dakika ya 90 na ushei, wakati la RB Leipzig limefungwa na Lois Openda dakika ya 48.
    Kwa ushindi huo, Manchester City inafikisha pointi sita na kuendelea kuongoza Kundi G kwa pointi tatu zaidi ya RB Leipzig wote wakiwa mbele ya Young Boys na Red Star Belgrade zenye pointi moja kila moja.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAICHAPA RB LEIPZIG 3-1 UJERUMANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top