// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
JKT QUEENS YAPANGWA NA MAMELODI LIGI YA MABINGWA AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEJKT QUEENS YAPANGWA NA MAMELODI LIGI YA MABINGWA AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
JKT QUEENS YAPANGWA NA MAMELODI LIGI YA MABINGWA AFRIKA
TIMU ya JKT Queens imepangwa Kundi A katika Ligi ya Mabingwa Afrika Wanawake pamoja na wenyeji, Athletico FC d’Abidjan ya Ivory Coast, Sporting Casablanca ya Morocco na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini. Kundi B linaundwa na mabingwa watetezi, AS FAR ya Morocco, Ampem Darkoa ya Ghana, Huracanes FC ya Equatorial Guinea na AS Mande ya Mali. Michuano hiyo itaanza Novemba 5 hadi 19 mechi zikichezwa viwanja vya Laurent Pokou Jijini San Pedro na Amadou Gon Coulibaly Jijini Korhogo.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment