• HABARI MPYA

    Monday, October 09, 2023

    JKT QUEENS YAPANGWA NA MAMELODI LIGI YA MABINGWA AFRIKA


    TIMU ya JKT Queens imepangwa Kundi A katika Ligi ya Mabingwa Afrika Wanawake pamoja na wenyeji, Athletico FC d’Abidjan ya Ivory Coast, Sporting Casablanca ya Morocco na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.
    Kundi B linaundwa na mabingwa watetezi, AS FAR ya Morocco, Ampem Darkoa ya Ghana, Huracanes FC ya Equatorial Guinea na AS Mande ya Mali.
    Michuano hiyo itaanza Novemba 5 hadi 19 mechi zikichezwa viwanja vya Laurent Pokou Jijini San Pedro na Amadou Gon Coulibaly Jijini Korhogo.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JKT QUEENS YAPANGWA NA MAMELODI LIGI YA MABINGWA AFRIKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top