// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
TABORA UNITED YAWACHAPA DODOMA JIJI FC 2-1 MWINYI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINETABORA UNITED YAWACHAPA DODOMA JIJI FC 2-1 MWINYI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TIMU ya Tabora United imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini Tabora. Mabao ya Tabora United zamani Kitayosce yamefungwa na mshambuliaji Mghana, Eric Okutu dakika ya 50 kwa penalti na Abbas Athumani dakika ya 90 na ushei, wakati la Dodoma Jiji FC limefungwa na Yassin Mgaza dakika ya pili. Kwa ushindi huo, Tabora United inafikisha pointi nane na kupanda nafasi ya tano, wakati Dodoma Jiji FC wanabaki na pointi zao tano nafasi ya tisa baada ya wote kucheza mechi tano.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment