SINGIDA BIG STARS YAICHAPA MTIBWA SUGAR 1-0 MANUNGU
BAO pekee la Elvis Rupia dakika ya 43 limeipa Singida Big Stars ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC leo Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro. Singida Big Stars inafikisha pointi tano na kusogea nafasi ya nane, wakati Mtibwa Sugar inabaki na pointi zake mbili nafasi ya 14 baada ya wote kucheza mechi nne.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment