BONDIA Muingereza, Tyson Fury amefanikiwa kutetea taji lake WBC uzito wa juu baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Mfaransa mwenye asili ya Cameroon, mbabe wa zamani wa UFC, Francis Ngannou Ngannou usiku wa jana Jijini Riyadh, Saudi Arabia.
Lakini The Gypsy King aliangushwa na kuhesabiwa na katika Raundi ya Tatu kabla ya kuinuka na kusimama imara kumaliza pambano, ingawa ushindi wake umegunwa.
0 comments:
Post a Comment