• HABARI MPYA

    Sunday, October 29, 2023

    MCAMEROON AMKALISHA TYSON FURY, LAKINI APOTEZA PAMBANO KWA POINTI


    BONDIA Muingereza, Tyson Fury amefanikiwa kutetea taji lake WBC uzito wa juu baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Mfaransa mwenye asili ya Cameroon, mbabe wa zamani wa UFC, Francis Ngannou Ngannou usiku wa jana Jijini Riyadh, Saudi Arabia.
    Lakini The Gypsy King aliangushwa na kuhesabiwa na katika Raundi ya Tatu kabla ya kuinuka na kusimama imara kumaliza pambano, ingawa ushindi wake umegunwa.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MCAMEROON AMKALISHA TYSON FURY, LAKINI APOTEZA PAMBANO KWA POINTI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top