// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MCAMEROON AMKALISHA TYSON FURY, LAKINI APOTEZA PAMBANO KWA POINTI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMCAMEROON AMKALISHA TYSON FURY, LAKINI APOTEZA PAMBANO KWA POINTI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MCAMEROON AMKALISHA TYSON FURY, LAKINI APOTEZA PAMBANO KWA POINTI
BONDIA Muingereza, Tyson Fury amefanikiwa kutetea taji lake WBC uzito wa juu baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Mfaransa mwenye asili ya Cameroon, mbabe wa zamani wa UFC, Francis Ngannou Ngannou usiku wa jana Jijini Riyadh, Saudi Arabia. Lakini The Gypsy King aliangushwa na kuhesabiwa na katika Raundi ya Tatu kabla ya kuinuka na kusimama imara kumaliza pambano, ingawa ushindi wake umegunwa.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment