// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA YAPANGWA NA AHLY, SIMBA NA WYDAD LIGI YA MABINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA YAPANGWA NA AHLY, SIMBA NA WYDAD LIGI YA MABINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, October 06, 2023

    YANGA YAPANGWA NA AHLY, SIMBA NA WYDAD LIGI YA MABINGWA


    MABINGWA wa Tanzania, Yanga SC wamepangwa Kundi D pamoja na mabingwa watetezi, Al Ahly ya Misri, CR Belouizdad ya Algeria na Medeama ya Ghana katika Ligi ya Mabingwa Afrika.
    Watani wao, Simba wapo Kundi B pamoja na Wydad Athletic ya Morocco, ASEC Mimosas ya Ivory Coast na Jwaneng Galaxy ya Botswana.
    Kundi A kuna Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, Pyramids ya Misri, TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Nouadhibou ya Mauritania.
    Kundi C lenyewe linazikutanisha Esperance, Etoile Du Sahel za Tunisia, Petro Atlético ya Angola na Al Hilal ya Sudan.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA YAPANGWA NA AHLY, SIMBA NA WYDAD LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top