KIUNGO Mkongo wa Azam FC, Yannick Bangala, amechanika msuli wa nyuma ya paja, kwenye mchezo wa jana dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji FC Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Taarifa ya Azam FC imesema kwamba baada ya mechi hiyo, Bangala alirejea Dar ss Salaam kwa vipimo zaidi, wakati timu ikielekea Tanga kwa ajili ya mchezo dhidi ya Coastal Union, Oktoba 6. “Baada ya vipimo ndiyo itajulikana ukubwa wa tatizo na muda wa matibabu hadi kupona,” imesema taarifa ya Azam FC.
Atalanta needs Lookman’s magic – Gasperine
-
•Club coach ponders Injured Nigerian return Atalanta coach Gian Pero
Gasperini is banking on Super Eagles forward Ademola Lookman to lead their
comeback ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment