// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BANGALA AUMIA MECHI NA DODOMA, AREJESHWA DAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BANGALA AUMIA MECHI NA DODOMA, AREJESHWA DAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, October 04, 2023

    BANGALA AUMIA MECHI NA DODOMA, AREJESHWA DAR


    KIUNGO Mkongo wa Azam FC, Yannick Bangala, amechanika msuli wa nyuma ya paja, kwenye mchezo wa jana dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji FC Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
    Taarifa ya Azam FC imesema kwamba baada ya mechi hiyo, Bangala alirejea Dar ss Salaam kwa vipimo zaidi, wakati timu ikielekea Tanga kwa ajili ya mchezo dhidi ya Coastal Union, Oktoba 6.
    “Baada ya vipimo ndiyo itajulikana ukubwa wa tatizo na muda wa matibabu hadi kupona,” imesema taarifa ya Azam FC.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BANGALA AUMIA MECHI NA DODOMA, AREJESHWA DAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top