TIMU ya Tanzania Prisons imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Bao pekee la Tanzania Prisons leo limefungwa na mshambuliaji wake tegemeo, Samson Baraka Mbangula dakika ya 42 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi 17 na kusogea nafasi ya tisa wakizidiwa tu wastani wa mabao na Namungo FC inayoendelea kushika nafasi ya nane baada ya wote kucheza mechi 14.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment