DODOMA JIJI YAICHAPA MAGEREZA DAR 1-0 ASFC NA KUSONGA MBELE
BAO pekee la Hassan Mwaterema limeipa Dodoma Jiji FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Magereza ya Dar es Salaam katika mchezo wa hatua ya 64 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) usiku huu Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Mechi nyingine za leo ASC JKT Tanzania imeitoa Kurugenzi ya Simiyu kwa mabao 5-0 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam, Ihefu SC imeitoa Rospa FC ya Mtwara kwa kuichapa mabao 3-0 Uwanja wa Highland Estate, Mbarali mkoani Mbeya na Coastal Unión imeichapa Greenland ya Kagera mabao 2-0.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment