// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ARSENAL YAMALIZA KIBABE KUNDI A BAADA YA SARE YA UGENINI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEARSENAL YAMALIZA KIBABE KUNDI A BAADA YA SARE YA UGENINI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ARSENAL YAMALIZA KIBABE KUNDI A BAADA YA SARE YA UGENINI
TIMU ya Arsenal imemaliza kileleni mwa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya sare ya 1-1 na PSV usiku wa jana Uwanja wa Philips Stadion Jijini Eindhoven nchini Uholanzi. Arsenal ilitangulia na bao la Eddie Nketiah dakika ya 42, kabla ya mshambuliaji Mbelgiji Yorbe Vertessen dakika ya 50. Kwa matokeo hayo, Arsenal inamaliza na pointi 13, ikifuatiwa na PSV pointi tisa na zote zinafuzu Hatua ya 16 Bora, wakati Lena iliyomaliza na pointi nane baada ya kuifunga 2-1 Sevilla ya Hispania nyumbani Ufaransa jana inakwenda Europa League. Sevilla safari yake kwenye michuano ya msimu huu imeishia hapa.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment