// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ARSENAL YAMALIZA KIBABE KUNDI A BAADA YA SARE YA UGENINI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEARSENAL YAMALIZA KIBABE KUNDI A BAADA YA SARE YA UGENINI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ARSENAL YAMALIZA KIBABE KUNDI A BAADA YA SARE YA UGENINI
TIMU ya Arsenal imemaliza kileleni mwa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya sare ya 1-1 na PSV usiku wa jana Uwanja wa Philips Stadion Jijini Eindhoven nchini Uholanzi. Arsenal ilitangulia na bao la Eddie Nketiah dakika ya 42, kabla ya mshambuliaji Mbelgiji Yorbe Vertessen dakika ya 50. Kwa matokeo hayo, Arsenal inamaliza na pointi 13, ikifuatiwa na PSV pointi tisa na zote zinafuzu Hatua ya 16 Bora, wakati Lena iliyomaliza na pointi nane baada ya kuifunga 2-1 Sevilla ya Hispania nyumbani Ufaransa jana inakwenda Europa League. Sevilla safari yake kwenye michuano ya msimu huu imeishia hapa.
Media Accreditation: Uganda Vs South Africa
-
FUFA wishes to inform you that the application process for accreditation to
cover the AFCON Qualifier 2025 match between Uganda and South Africa on
Frida...
CAF Postpones Libya vs Nigeria
-
The Confederation of African Football (CAF) has officially confirmed the
postponement of the AFCON 2025 second-leg match between Nigeria’s Super
Eagles a...
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment